SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,036
- 8,942
Acha upuuzi wako kwenye mambo ya msingi. Sio kila kitu mnaleta propaganda uchwara.Acha ujinga wewe, toka hapo kwa shemeji yako! Mimi nipo MWanza, nafuga kuku wa kienyeji, nina oda ya mayai ya kienyeji hadi wateja nawakimbia....kwasasa hivi nazalisha tray 2 tu kwa siku.(2 X 15,000 X 28) jibu unalo mwenyewe.
Kama utaweza njoo nikupe mitetea 3 na jogoo moja kisha baada ya miezi 6 urudi hapa jf uandike upuuzi wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
