makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,839
- 103,948
Hhhmm... Mkuu hicho kichina au kirusi sasa.Ni China, hao viumbe wanajulikana kama konkhonhohyuw..ni watamu sana pale unapowachanganya na ndhizyu mhynchanrehyo!!!
Hhhmm... Mkuu hicho kichina au kirusi sasa.Ni China, hao viumbe wanajulikana kama konkhonhohyuw..ni watamu sana pale unapowachanganya na ndhizyu mhynchanrehyo!!!
Mhhh.Tuwape taifa stars
Hahahah thanks man99.99% A+
Kirusi unakijua mkuu...?!!Hhhmm... Mkuu hicho kichina au kirusi sasa.
Sure, mie nadhani red meat zinawa intoxicate. Hii mambo haili chemical na imejaa natural rich proteins. Wachague mapishi tu. Haiwezekani wachezaji wa west africa wang'ae peke yao miaka yote kwenye ligi zenye mishahara ya juu.Tuwape taifa stars
daaadek hivi vitu ndo mtanifanya nisisafiri aisee...! au ukienda nchi za watu unakuwa vegetarian tu!