Nchi gani hii?

Nchi gani hii?

Chakula ya wagogo hii. Mikoa isiyofuga wanakula nyama za ajabu sana aiseeee. Unakuta watu wanakula mbwa, nyani, tumbili, konokono, jongoo n.k
 
288f69d0d3d6a08bd0b6f938eb08fea0.jpg
Kwa hiyo hapa ni sokoni wanauza kwa raha zao kama wanyiramba wauzavyo vitunguu kwenye stand ya Singida?!
 
Mkuu, kwani hiyo kitu ikipikwa inawekwa kwenye kundi gani la chakula. Mimi huko nilikoikuta ilikuwa iko kwenye kundi la sea food na kilikuwa chakula gali sana, wanakula watu wenye pesa au unaandaliwa kwa heshima kama Mgeni, kiliandaliwa kwenye ajili yetu kama wageni, tulikuwa wanane kutoka nchi za Afrika tuliokuwa masomoni (internship) nchini nchina. Jamaa kutoka Morocco ndo alikifurahia, kesho yake tulimwambia Mratibu (Mwenyeji) kuwa hiyo kitu baadhi yetu sio utamaduni wetu. Walikuwa wanamwandalia Jamaa kutoka Morocco.

Ndugu itakuwa wewe uliona kitu inafanana na hiyo lakini sio hao konokono. Kule kwetu visiwani kuna sea food inaitwa MAKOME hiyo inapatikana baharini tu na inafanana na hayo makonokono.
 
Mkuu una uhakika hiyo ni sea food? Hembu angalia vyema jombaa
Mkuu, kwani hiyo kitu ikipikwa inawekwa kwenye kundi gani la chakula.
Ndugu itakuwa wewe uliona kitu inafanana na hiyo lakini sio hao konokono. Kule kwetu visiwani kuna sea food inaitwa MAKOME hiyo inapatikana baharini tu na inafanana na hayo makonokono.
Mkuu, sasa unanilazimisha kukubali kuwa ili MAKOMBE, lihali nilikuwa namshudia mtu akiingiza kijikoko kidogo kwenye hiyo kitu akichonoa na kula...aaaaaaagh, tena usinikumbushe endeleeni nyie kuila hiyo mikitu.
 
Huko huko Kenya hatutumii hakuna huku.Tuliwauzia waChina paka wakafunga soko walisema tuliwauzia wanga.
 
daaadek hivi vitu ndo mtanifanya nisisafiri aisee...! au ukienda nchi za watu unakuwa vegetarian tu!

Ha ha haaa mie nna kanuni moja siku hizi, ukienda mahali ukakuta wenyeji wanatumia kitu flani na hawadhuriki, unajumuika nao tu, ina maana haina madhara. Huyu mdudu huenda akawa mtamu kama firigisi ya kuku, hakuna mfupa hapo.
 
Ni China, hao viumbe wanajulikana kama konkhonhohyuw..ni watamu sana pale unapowachanganya na ndhizyu mhynchanrehyo!!!
 
Mkuu, kwani hiyo kitu ikipikwa inawekwa kwenye kundi gani la chakula.

Mkuu, sasa unanilazimisha kukubali kuwa ili MAKOMBE, lihali nilikuwa namshudia mtu akiingiza kijikoko kidogo kwenye hiyo kitu akichonoa na kula...aaaaaaagh, tena usinikumbushe endeleeni nyie kuila hiyo mikitu.

12491a54bb895b1ada87e2255e5cf6b5.jpg
43b2dda15b11837c73ec4537cd0bec69.jpg
a9c2a2621ad52d802e29d228ea1399e5.jpg
919f29628ace20c5eaf288c11d7363e2.jpg

Sio MAKOMBE ni MAKOME note that
 
yate-1.jpg

Ni kama ulimi wa ng'ombe.

8058591983_94ff36bdea.jpg

Au kama supu ya mapupu.

Stir%20fried%20Snails%20with%20Lemongrass%20and%20Chili%20Recipe%20%28%E1%BB%90c%20X%C3%A0o%20S%E1%BA%A3%20%E1%BB%9At%29%205.jpg


maxresdefault.jpg


Kama kokoto


peppered-snail.jpg

Kama rosti

17664411308942a04b52209432261a29.jpg

Kama mishikaki.

4252835633_346354328b_o.jpg

pasta

Hawa hapa wala konokono, cheki miili

51515735-senegalese-national-soccer-team-players-pose-gettyimages.jpg


ghana-football-team.jpg


IMG_61501-1024x653.jpg


the-ivory-coast-team-pose-for-a-photo-ahead-of-the-international-picture-id97406129


DSL619_SOCCER_WORLD_M53_FRA_NGA.JPG
 
yate-1.jpg

Ni kama ulimi wa ng'ombe.

8058591983_94ff36bdea.jpg

Au kama supu ya mapupu.

Stir%20fried%20Snails%20with%20Lemongrass%20and%20Chili%20Recipe%20%28%E1%BB%90c%20X%C3%A0o%20S%E1%BA%A3%20%E1%BB%9At%29%205.jpg


maxresdefault.jpg


Kama kokoto


peppered-snail.jpg

Kama rosti

17664411308942a04b52209432261a29.jpg

Kama mishikaki.

4252835633_346354328b_o.jpg

pasta

Hawa hapa wala konokono, cheki miili

51515735-senegalese-national-soccer-team-players-pose-gettyimages.jpg


ghana-football-team.jpg


IMG_61501-1024x653.jpg


the-ivory-coast-team-pose-for-a-photo-ahead-of-the-international-picture-id97406129


DSL619_SOCCER_WORLD_M53_FRA_NGA.JPG
Mkuu, hao waache wawe na mili kwa kula konokono mimi hata siku moja sikuli hiyo, naishia kwenye prowns tu. Hata China walipotupikia hiyo kitu ilikuwa kwnye sinia yake, na vikula vingine vilikuwepo ikiwepo prowns na majani kama vitunguu fulani ambayo ukila unapiga chafya, miye nilikuwa naishia kwenye vitu ninavyofahamu tu.
 
Ghana, Nigeria na nchi nyingi za West Africa wanakula konokono tena ni chakula cha tunu. In reality konokono ina protein nyingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom