Nchi 6 zilizotoa Leseni kwa Starlink kutoa huduma za Intaneti yenye Kasi zaidi Afrika

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,383
8,132
1697100317774.png

Zambia imekuwa Nchi ya 6 barani Afrika kuridhia uwekezaji wa Kampuni ya SpaceX kuanza kutoa huduma za Intaneti yenye kasi zaidi kupitia Starlink, hatua inayotajwa kuwa itapunguza urasimu kwa Watoa huduma waliopo pamoja na kuongeza Ubora wa Mawasiliano ya Mtandao.

Kampuni ya Starlink inayomilikiwa na Bilionea wa Dunia, Elon Musk imeanz uwekezaji huo Barani Afrika ambapo Nchi ya kwanza ilikuwa Nigeria iliyoanza kutumia huduma hizo January 2023. Watumiaji wanapata Intaneti isiyo na kikomo na bila kulazimika kuwa na mkataba na Starlink.

Sera Bora za Uwekezaji pamoja na Mazingira ya Nchi husika katika kuvutia Teknolojia, vimetajwa kuwa sababu kuu za Kampuni nyingi kukimbilia katika Nchi zenye masharti nafuu ya Uwekezaji huku Kenya na Rwanda zikitajwa kwa Afrika Mashariki.

============

Residents can now place orders for their Starlink kits directly on the company's website.
Starlink uses a constellation of thousands of satellites in low Earth orbit to provide internet access to users around the world. The service is particularly well-suited for rural and underserved areas, where traditional internet infrastructure is often lacking.

Starlink is available in Zambia in limited areas, but the company plans to expand its coverage over the coming months. The service is priced at ZMW771 ($37) per month, with a one-time hardware cost of ZMW10,744 ($505).

Users who wish to use the Starlink service in other African countries will have to pay ZMW1,000 ($47) per month for regional roaming. Those who want to take their Starlink kit and use it on another continent must pay ZMW3,950 ($186).

In addition to the standard Starlink dish, SpaceX also offers a Flat High-Performance dish that is geared towards professional and business users with more demanding broadband requirements. The Flat High Performance dish is priced at ZMW50,133 ($2,355).

The launch of Starlink in Zambia is a significant development for the country's internet infrastructure. According to the World Bank, only 44% of Zambians have access to the internet and those who do often face high costs and slow speeds.

Starlink could help bridge the digital divide and provide millions of Zambians with high-speed internet for the first time.

In addition to the benefits for consumers, Starlink could also have a positive impact on Zambia's economy as the service could attract new businesses and investment to the country, and create jobs in the telecommunications sector.

The launch of Starlink in Zambia is part of a broader trend of SpaceX expanding its satelite internet across Africa. In 2023, Starlink launched in Nigeria, Kenya, Mozambique, Rwanda, and Malawi. It is also scheduled to go live in Angola and Eswatini before the end of the year.

STARLINK/BUSINESS INSIDER AFRICA
 
Back
Top Bottom