Senegal: Serikali yazima Intaneti kwa madai ya kuepusha Machafuko na Uchochezi

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
Macky-Sall-AP.jpg

SENEGAL: Serikali imetangaza kusitisha Huduma za Intaneti Nchi nzima kwa maelezo kuwa inakusudia kuzuia usambazaji wa taarifa za chuki na uchochezi wa uasi baada ya Rais Macky Sall kuahirisha Uchaguzi Mkuu.

Imeelezwa kuwa kuahirishwa kwa Uchaguzi uliotarajiwa kufanyika Februari 25, 2024 kumeibua vurugu na maandamano ya Wananchi wanaopinga hatua hiyo pamoja na kukamatwa kwa baadhi ya Wagombea Urais wa Upinzani .

Licha ya hali hiyo, Bunge limeanza vikao vya kuidhinisha usitishwaji wa Uchaguzi pamoja na kuongeza muda wa miezi 6 kwa Rais kuendelea kuwa madarakani.

Umoja wa Afrika (AU) umeonesha wasiwasi wa kuongeza machafuko Nchini huko na hivyo kumtaka Rais Macky Sall kuitisha Uchaguzi Mkuu haraka iwezekanavyo.

========

Senegal’s parliament is meeting to consider the postponement of presidential elections announced by President Macky Sall, a move that has plunged the country into crisis.

Monday’s session is happening after a day of violent street protests in the capital Dakar – during which at least one senior opposition figure was arrested – and growing international concern.

Lawmakers are voting on a proposal to postpone the presidential poll – previously set for February 25 – for up to six months. The text before them will need the support of three-fifths of the 165-seat parliament to pass.

Sall’s announcement of a delay on Saturday has since set off a chain of events in the West African country.

On Sunday, the government ordered a private television broadcaster off the air for “incitement to violence” over its coverage of the protests, another sign of the mounting political tension in the country. There was also restriction of motorcycle movements in Dakar on Monday even as security has been reinforced in the capital.

The government also restricted internet connections in parts of the country, with a statement from the Ministry of Communication, Telecommunications and Digital Economy saying this was “due to the dissemination of several hateful and subversive messages relayed on social networks in the context of threats and disturbances to public order.”
 
View attachment 2895160
SENEGAL: Serikali imetangaza kusitisha Huduma za Intaneti Nchi nzima kwa maelezo kuwa inakusudia kuzuia usambazaji wa taarifa za chuki na uchochezi wa uasi baada ya Rais Macky Sall kuahirisha Uchaguzi Mkuu.

Imeelezwa kuwa kuahirishwa kwa Uchaguzi uliotarajiwa kufanyika Februari 25, 2024 kumeibua vurugu na maandamano ya Wananchi wanaopinga hatua hiyo pamoja na kukamatwa kwa baadhi ya Wagombea Urais wa Upinzani .

Licha ya hali hiyo, Bunge limeanza vikao vya kuidhinisha usitishwaji wa Uchaguzi pamoja na kuongeza muda wa miezi 6 kwa Rais kuendelea kuwa madarakani.

Umoja wa Afrika (AU) umeonesha wasiwasi wa kuongeza machafuko Nchini huko na hivyo kumtaka Rais Macky Sall kuitisha Uchaguzi Mkuu haraka iwezekanavyo.

========

Senegal’s parliament is meeting to consider the postponement of presidential elections announced by President Macky Sall, a move that has plunged the country into crisis.

Monday’s session is happening after a day of violent street protests in the capital Dakar – during which at least one senior opposition figure was arrested – and growing international concern.

Lawmakers are voting on a proposal to postpone the presidential poll – previously set for February 25 – for up to six months. The text before them will need the support of three-fifths of the 165-seat parliament to pass.

Sall’s announcement of a delay on Saturday has since set off a chain of events in the West African country.

On Sunday, the government ordered a private television broadcaster off the air for “incitement to violence” over its coverage of the protests, another sign of the mounting political tension in the country. There was also restriction of motorcycle movements in Dakar on Monday even as security has been reinforced in the capital.

The government also restricted internet connections in parts of the country, with a statement from the Ministry of Communication, Telecommunications and Digital Economy saying this was “due to the dissemination of several hateful and subversive messages relayed on social networks in the context of threats and disturbances to public order.”
Afrika ina kansa ya uongozi.

Sababu ya kuhairisha uchaguzi ni ipi?

Soon Jeshi wanachukua nchi hapo
 
Bara la giza kama kawaida yake halijawahi kutuangusha kwenye mambo ya kijinga kama haya. Sally ni mpendwa wa West na hasa France. Hao France wameona uchaguzi ukifanyika yule mwamba Ousumane Sonko anachukua na yeye amesema wazi ataitoa Senegal kwenye ile Monetary Union inayowanyonya sana nchi zilizokuwa makoloni ya France.

Tutegemee machafuko zaidi. Mwisho wa siku Sally atakimbilia France kujificha hadi afie huko
 
View attachment 2895160
SENEGAL: Serikali imetangaza kusitisha Huduma za Intaneti Nchi nzima kwa maelezo kuwa inakusudia kuzuia usambazaji wa taarifa za chuki na uchochezi wa uasi baada ya Rais Macky Sall kuahirisha Uchaguzi Mkuu.

Imeelezwa kuwa kuahirishwa kwa Uchaguzi uliotarajiwa kufanyika Februari 25, 2024 kumeibua vurugu na maandamano ya Wananchi wanaopinga hatua hiyo pamoja na kukamatwa kwa baadhi ya Wagombea Urais wa Upinzani .

Licha ya hali hiyo, Bunge limeanza vikao vya kuidhinisha usitishwaji wa Uchaguzi pamoja na kuongeza muda wa miezi 6 kwa Rais kuendelea kuwa madarakani.

Umoja wa Afrika (AU) umeonesha wasiwasi wa kuongeza machafuko Nchini huko na hivyo kumtaka Rais Macky Sall kuitisha Uchaguzi Mkuu haraka iwezekanavyo.

========

Senegal’s parliament is meeting to consider the postponement of presidential elections announced by President Macky Sall, a move that has plunged the country into crisis.

Monday’s session is happening after a day of violent street protests in the capital Dakar – during which at least one senior opposition figure was arrested – and growing international concern.

Lawmakers are voting on a proposal to postpone the presidential poll – previously set for February 25 – for up to six months. The text before them will need the support of three-fifths of the 165-seat parliament to pass.

Sall’s announcement of a delay on Saturday has since set off a chain of events in the West African country.

On Sunday, the government ordered a private television broadcaster off the air for “incitement to violence” over its coverage of the protests, another sign of the mounting political tension in the country. There was also restriction of motorcycle movements in Dakar on Monday even as security has been reinforced in the capital.

The government also restricted internet connections in parts of the country, with a statement from the Ministry of Communication, Telecommunications and Digital Economy saying this was “due to the dissemination of several hateful and subversive messages relayed on social networks in the context of threats and disturbances to public order.”
Viongozi wa Africa ni wapumbavu! Yaani unaingiza nchi kwenye matatizo kisa madaraka tu! Si aache uchaguzi ufanyike aende akapumzike?
 
Rais yoyote asiyejiamini na mwenye makandokando ndio anazima internet ili watu wasipate habari za uovu wake.
 
Afrika ina kansa ya uongozi.

Sababu ya kuhairisha uchaguzi ni ipi?

Soon Jeshi wanachukua nchi hapo
waafrika wote ni wajinga , juz mlikuwa mnashangilia serikali ya mapinduz ya kijeshi ile ilikuwa mbegu mbaya kwenye jamii ila kwa akili zenu mliona fahari kisa mlizichukia serikali halali zilizotolewa madarakan na jeshi kukaimu madarak ya juu ya nchi , bado inaendelea
 
Viongozi wengi wa africa ndio ujinga wao huu kutumia nguvu nyingi kuachia madaraka tusubiri idadi ya watu kuzidi kukamatwa na wengine watauawa na wenye mishahara yao ya laki nne wakitetea ujinga,,😂😂
 
waafrika wote ni wajinga , juz mlikuwa mnashangilia serikali ya mapinduz ya kijeshi ile ilikuwa mbegu mbaya kwenye jamii ila kwa akili zenu mliona fahari kisa mlizichukia serikali halali zilizotolewa madarakan na jeshi kukaimu madarak ya juu ya nchi , bado inaendelea
Wewe ni mzungu au mwafrika kama sisi?
 
Back
Top Bottom