Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
Mkuu, siasa za kugawa pombe upate kura zimepitwa na wakati.
Mimi sina shida na siasa uchwara, Mimi nataka wananchi wanichague baada ya kuwaonyesha what I can do for my Mother land , mie siendi kufuata shangingi ,hizo hela za kunua shangingi moja kama la msigwa zinaweza kununua ambulance kumi au magari ya kuzoa taka ishirini
wakuchague wewe? Utakuwa umepona yale magonjwa?