NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

Chilisosi una akili sana unawaza kama mimi. umefurahi eeh!
 
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa

Umaarufu na umakini wake uliishia SPLENDID HOTEL kule Tanga 1997......kama ulikuwa na umri.Hebu soma hii halafu ukanywe Cerelac!


A petition filed by two defeated candidates (from NCCR-Mageuzi and CHADEMA) in the Temeke (Dar es Salaam) parliamentary constituency occupied several weeks of High Court time. The case revealed much of what was alleged to have happened in at least one Dar es Salaam constituency during the last elections and resulted in the convening of the first byelection of the new parliament.

During the case there were allegations that the successful candidate, CCM’s Ramadhani Kihiyo, bribed voters with money and T-shirts, provided a free supply of water from a bowser two days before the second round of the elections (the first round in Dar es Salaam constituencies was cancelled because of irregularities and several opposition candidates boycotted the second round on November 19 where the turnout dropped to 39% of the 143,749 registered voters) and that a CCM councillor had threatened traders supporting the opposition that they would lose their licenses. Mr Kihiyo got 37,303 out of the 57,152 votes cast in the second round of the elections. The location of several polling stations was said to have been changed because of the high rents charged by owners of the buildings where voting took place – this was alleged to have further confused voters and there were also allegations that ballot papers were bought and sold. But the court reached a pitch of high drama when NCCR MP and lawyer Dr. Masumbuko Lamwai, tackled Kihiyo on the qualifications he had told the electorate he held (as reported in the Daily News):

Lamwai: You say you graduated from the Dar es Salaam Technical College in 1986. Is that right?.
Kihiyo: Yes, of course.
Lamwai: Do you know that man? (pointing to former Technical College Students Council Chairman)?
Kihiyo: No, I don’t know him.
Lamwai: What is a foundry?
Kihiyo: I don’t know (laughter from the packed public gallery).
Lamwai: How many sub-departments are there in the Mechanical Department of the College?
Kihiyo: An engine room, an injection pump and repair (laughter).
Lamwai: Do you have any paper indicating what marks you got?
Kihiyo: I think I have it somewhere.
Lamwai: Do you know who the Principal of the College was when you were there?
Kihiyo: I don’t know.
Lamwai: Who was the Registrar?
Kihiyo: Mr Kuhanga.
Lamwai: No. Mr Kuhanga was my Vice-Chancellor at the University of Dar es Salaam at that time.
Lamwai: When did you start your studies there?
Kihiyo: I don’t remember.

Dr. Lamwai told the court that Kihiyo had used the title engineer during the campaign in relation to his ability to solve water problems affecting the constituency. The Judge asked Kihiyo to bring his certificate to court.
Kihiyo: (Next day). Your Honour, can you please give me two more days to look for the document.
Lamwai: Do you still maintain that you graduated from the College?
Kihiyo: Yes.
Dr. Lamwai then asked about the stream he had been in, his Head of Department’s name, who had presented the certificate to him, what were the entrance requirements but in every case Kihiyo either did not know or gave the wrong answer.
Lamwai: What does VTC stand for?
Kihiyo: It is National Committee Centre (laughter).
Lamwai: I ask you to step down as MP for Temeke

On May 29, following a month in the High Court, Mr Kihiyo announced through his counsel that he had written to the House of Assembly Speaker resigning as MP for Temeke on medical grounds.
On June 26 in the National Assembly Mr Christiant Mzindakaya (CCM MP for Kwela) said that Dr. Lamwai was a ‘bad comrade’. He was bent on unseating his fellow MP’s rather than using his talents to defend them (loud laughter).
 
Kubisha huko kunasababishwa na ugonjwa unaoitwa Compulsive Lying Disorders. Akipona ataacha kuikana ID yake hyo
 
NCCR MAGEUZI ina sera nzuri lakini ni tawi la CCM kama huna akili chunguza!!
 
Mh.Hashimu Rungwe (mzee Bahari motors, yupo wapi?
 
Napata shida sana kuwa nikuweke kwenye kundi gani kifikra kwa sababu umbumbumbu wako hauvumiliki kabisa. Sitaki kuamini kama huna akili timamu. Maelezo uliyotoa ni dhaifu sana kujenga hoja ya kichwa ulichokiandika.

Nitajikita kueleza sentensi moja baada ya nyingine hadi nizimalize.
NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu Maandamano ya NCCR huwa ya amani : NCCR ni CCM C na CUF ni CCM B. Hivyo CCM haiumizi kichwa kutumia vyombo vyote vya usalama kupambana na NCCR. Vinapambana na CHADEMA ndio maana vyombo hivyo huanzisha vurugu lakini bila kujua vimekuwa vikiipaisha CHADEMA. Hivyo tafakari chukua hatua.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati Chadema walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko: Viongozi wa CHADEMA waende kwenye hilo ghorofa kusafisha macho au kuonyesha masikitiko au kusaidia uokoaji? Uwepo wa Mbatia eneo la tukio ulichangia uokoaji wa maisha ya watu wangapi na umetumia tathmini ipi kutambua huo mchango? Huenda alivyoenda na kama asingeenda ingekuwa sawa tu. Ingawa ni mtaalamu wa majengo lakini pale utaalam wake asingeweza kuutumia.
NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja: Hii inauhusiano gani na CHADEMA. CHADEMA kingekuwa chama cha mtu kisingepata usajili. Rejea sheria ya vyama vya siasa ili uelewe taratibu za kufuatwa wakati wa kusajili chama cha kisiasa.

Ila ujinga wako sio mkubwa sana ukiamua kuelevuka bado una mda. Maana umri wako unakuruhusu.

 
Nimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama chadema
NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
Maandamano ya NCCR huwa ya amani
NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati Chadema walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa

Ukikosa UHURU WA FIKRA unabaki kusubiari wenzio wafikirie kwa niaba yako na hatimaye kulishwa mawazo na fikra mfu. Hivi kumbe sera ya MAGAMBA ni kufanya watu wafe kwa majanga ya kutengeneza, halafu kipimo cha kuwajibika kwa wananchi ni kuwatembela na kuwapa pole wanapo fiwa??

Kwamba sababu za watu kufa zitoke kwenu, halafu lawama ya kuto kwenda kuangalia walio kufa wapewe CHADEMA?? Hayo ni mawazo mufilisi.

Ndiyo tatizo la UTUMWA WA MAWAZO. Angalia wenzako (Shoza na Mwampamba) wanavyo jiuza kwenye majukwaa na vyombo vya habari sasa hivi. Halafu kibaya zaidi hata habari zao hazina mashiko tena zaidi ya kutukana tu. Sasa na wewe unakuja na pumba nyingine ambazo hata kushirikisha UBONGO imekuwa kazi.

Kajipange ndio ulete uzi wenye mashiko.
 
Ingekuwa hakuna BAN leo ungekoma. NCCR na CCM kuna tofauti gani? seriously siwapendi watu wanaofanya mizaha na maisha ya watu kwa sababu ya maslahi yao binafsi. CHADEMA ni chama cha watu kwa ajili ya watu, iweje ww uamue kupotosha watu kwa ajili una maslahi binafsi na CCM? surely you dont deserve to be called a TANZANIAN.
 
jipeleke Milembe mwenyewe kabla hatujakupeleka sisi? wewe kwani ni kichaaa kabisa. your of unsound mind. just die alone
Nimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama chadema
NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
Maandamano ya NCCR huwa ya amani
NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati Chadema walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa
 
Mkuu sio mihadarati, huyu ni yule Mgonjwa wa Dr Paurine bila shaka katika mojawapo ya IDs zake 10. anasumbuliwa na magonjwa mazito kama 7 hivi (OCD, DG, CLD, ASPD, ODD, MPD na LD).

UKIBISHANA NA KICHAA .......

Haha watu mnajua kufukunyua ID's
 
Nimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama chadema
NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
Maandamano ya NCCR huwa ya amani
NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati Chadema walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa

Yaani toka WABUNGE 10 hadi WABUNGE 3 na MMOJA wa kupewa na RAIS MTUKUFU? Hallow... HII HOJA does not HOLD WATER...

Wakafukuzana na wengine kurudi CCM na hatuwasikii tena kama yule MASUMBUKO LAMWAI - is he a sell out???
 
Sasa kwanini usitumie hile id yako ya siku zote? Msalimie pacha wako Chris Lukosi naona kapumzika!

Nimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama chadema
NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
Maandamano ya NCCR huwa ya amani
NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati Chadema walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa
 
Last edited by a moderator:
Chadema mkumbuke nccr ilishawahi kuwa na idadi ya viti kama mlio nayo .kilichowaangusha ni ubinafsi wa viongozi kama mlivyo nyie wakati huu.nahisi sasa nccr ni chama madhubuti chenye viongozi na wanachama wanaofanya kazi zao kwa busara na kwa vyovyote uchaguzi ujao kitakua chama tishio kwa chama tawala.
 
baada ya kujua yale magonjwa 7 uliyonayo wala hutusumbui tena
 
Kwanini mwenyekiti wa NCCR kateuliwa na raisi kuwa mbunge wa kuteuliwa,KULIKONI?.mie siamini kama ni wapinzani ila kuna walakini
 
Nimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama chadema
NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
Maandamano ya NCCR huwa ya amani
NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati Chadema walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa

Duniani kuna watu na Viatu...wewe ni kiatu.....
Mwenyekiti wa NCCR Taifa kagombea ubunge jimbo ambalo mbunge wa CHADEMA tena binti aliibuka kidedea...mwanaume huyo kaingia bungeni kwa viti maalumu.....
NCCR chenye wabunge kigoma tu...leo ndo chama cha kitaifa....CHADEMA chenye wabunge mpaka anakoishi Ridhiwani na W.Lukuvi ndio cha ukanda wa kaskazinni....
Unajua NCCR wenyewe wanaijua nguvu ya CHADEMA....
Ukitaka kujua nenda Mtwara....!
 
Back
Top Bottom