Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Anyway mkuu
Tusiende mbali
Vipi Lwakatare anaendeleaje huko Lupango, nasikia wako kumi kwenye kachumba kamoja sasa huwa inakuwaje wakati wa kukata gogo?
Nenda gerezani ukaulize.
Anyway mkuu
Tusiende mbali
Vipi Lwakatare anaendeleaje huko Lupango, nasikia wako kumi kwenye kachumba kamoja sasa huwa inakuwaje wakati wa kukata gogo?
Sawasawa hakuna tofauti kati ya Magamba na nyie, nyote mnafadhiliwa na mabeberu wa Ulaya.
Halafu behave kama great thinker, jenga hoja badala ya kuita wenzio wamekufa au wanaishi kaburini.
Jifunze kuelewa....kuitwa uko kaburini hiyo ni lugha ya nahau (idioms) yaani hauko aware na kile kinachozungumziwa mathalani kwa kutokuwa informed!
Kufadhiliwa na mabeberu ni kitu ambacho hakiepukiki ila kutoendeshwa na mabeberu ni kitu kinachowezekana...
China wamefika hapo kwa kufadhiliwa na mabeberu....na South Africa wamefika hapo kwa kufadhiliwa na mabeberu ila wamewakaba katika mikataba kwa sababu wanajitambua....
Tanzania ndio shamba la bibi kutokana na uongozi dhaifu wa chama cha mapinduzi...
Bila CCM kushindwa hamtakuja kupata CCM iliyojichuja vyema....mabadiliko should come....
Wote waliozaliwa na wazazi the same,hawana mawazo sawa!
CCM itashinda kwa kishindo 2015 ikifuatiwa na NCCR mageuzi halafu wagombea binafsi, TLP then Chadema na wengineoHapa vinazungumziwa vyama vitatu
Ifikapo 2015 watanzania watapiga kura kwa kuzingatia ukweli huu.
- Chama cha UTU, yaani NCCR waanzilishi wa mageuzi nchini Tanzania!
- Chama cha Mafisadi ambacho jina lake ni ......
- Chama cha Magaidi ambacho kinaitwa ..........
Nimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama chadema
NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
Maandamano ya NCCR huwa ya amani
NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati Chadema walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa
Mkuu kwani huwa siendi kwetu?
Tatizo nyie vijana hamjui hata utamu wa matapu tapu NA FAIDA ZAKE.
Taps bomba sana tatizo ni harufu tu ukienda kujisaidia
CCM itashinda kwa kishindo 2015 ikifuatiwa na NCCR mageuzi halafu wagombea binafsi, TLP then Chadema na wengineo
CCM itashinda kwa kishindo 2015 ikifuatiwa na NCCR mageuzi halafu wagombea binafsi, TLP then Chadema na wengineo
CCM itashinda kwa kishindo 2015 ikifuatiwa na NCCR mageuzi halafu wagombea binafsi, TLP then Chadema na wengineo
ChilisosiNimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama chadema
NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
Maandamano ya NCCR huwa ya amani
NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati Chadema walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa
Endeleeni kufadhiliwa. Leteni pia maelezo ya jinsi gani mtalipa hizo fadhila.
Eleza pia mtakavyolipa fadhila za Sabodo
wewe tu huitaji kulipwa. Nenda hapo makao makuu ya chama chenu, uliza kiasi gani cha pesa ya ruzuku kinarejesha michango ya waheshimiwa hususan iliyotolewa 2010.Nani alikuambia fadhila ni deni....??? Ulishawahi kutoa sadaka??? mie nimechangia fedha nyingi tu katika M4C na wala sihitaji kulipwa...
Dont think the same as those who do not think at their infinity!
Kama hunywi ni bora usinywe mkuu,
Mie nakunywa pombe za aina zote hasa matapu tapu
wewe tu huitaji kulipwa. Nenda hapo makao makuu ya chama chenu, uliza kiasi gani cha pesa ya ruzuku kinarejesha michango ya waheshimiwa hususan iliyotolewa 2010.
waliorejeshewa ni wa ndani kwa ndani. Ufadhili wa magamba na wa mabeberu bado hamjaanza kulipa. Usiku mwema.Sasa kama wanarejeshewa fedha zao na unajua...mbona unauliza watalipwa vipi???
Wewe tatizo lako ni kupata fursa sawa,kuona utawala wa haki na sheria,kuona serikali inayoshirikiana na wanachi,kutumia rasilimali kunufaisha wazawa....au kulipwa kwa mabeberu????
Mkuu, siasa za kugawa pombe upate kura zimepitwa na wakati.Yeah..wewe kunywa tu kwa raha zako!
Na kwenye kampeni wanunulie wazee mapipa kibao yasambaze gangilonga,kihesa,mlandege,kihodombi,mkimbizi,ilala,ngome,mtwivila,TRM n.k