NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

sikubaliani nawe na hasa unaposema kufa kwa chadema ndio mwisho wa multipartism bcouse historia ya vyama vingi Tanzania wala haitufunfishi hivyo, ilikua NCCR na ilivyokufa CUF ikaibuka nayo iliposinyaa CHADEMA ikasimama hivyo kufa kwa CHADEMA lazima kiibue chama kingine kitakachokuwa na nguvu
Hakuna chama cha upinzani cha kweli Tanzania wala democrasia ya kweli nchi hii bila CCM kufa kwanza.Take my word!
 
Nimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama CHADEMA.

1. NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
2. Maandamano ya NCCR huwa ya amani
3. NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.

Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati CHADEMA walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.

Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa.
ni kweli unavyosema hata kutoka ccm wabunge wanaofuata wengi ni nccr na uchaguzi wa chalinze chama kilichofuata ccm ni nccr,hiyo ndio elimu ya ccm
 
Back
Top Bottom