kaangwa
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 644
- 193
Apone wapi,bado hajapona si unamwona usoni,hiyo siyo sura ya mtu mwenye afya.kha! hivi wewe chris si ni mgonjwa wewe?! au umepona?
Apone wapi,bado hajapona si unamwona usoni,hiyo siyo sura ya mtu mwenye afya.kha! hivi wewe chris si ni mgonjwa wewe?! au umepona?
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.
Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu
NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa
Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME
Hebu fikiria ili kupata mvuto chadema wameanza kuahidi uvunjifu wa sheria kama vile kupika gongo ili kuwafurahisha wavunjaji sheria, kesho chadema watatuambia bange ruksa, na hata biaSHr Y ngono ruksa wakichukua nchi ili wapate kura zaidi
JITAMBUE!
siasa za chadema ndio hivyo zipo ukingoni, kinapotea. Ni vyema tuanze kujiandaa kisaikolojia kukiunga chama kingine mkono ambacho kitashika hatamu ya kuongoza upinzani nchini na hatimaye kushika dola ya tanzania.
Nccr?
Cuf?
Chauma?
Adc?
A.c.t?
Au the beautiful ones are not yet born...
Kipi hicho mkuu. Na je huo mziki wa cdm ni upi? Chopa 3 kata 3 au kalenga na chalinze? Hebu tuliza kichwa basi tujadili mambo ya msinginadhani umeona aibu kutaja hicho kikundi chenu chenye nyota,kinaitwa act,cdm mziki wake nimkubwa hamta uweza,njaa nimbaya sana.
Nadhani "Nyinyiem" mjiandae kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya Cdm kuchukua dola 2015.
Rudi kwenye mada huko unakwenda wapi we bavicha.Chama cha kufa na kusaidiana cha kabila lako bovu miundo mbini duni ndugu zako hoi hawapewi pembejeo ila wanakopwa na serekali watoto wa ndugu zako nawaona kule kijijini na maziro ya form four wana taka boda boda we mwenyewe mbinafs sheme opon U.
Dola ipi au umesahau siyo dola ni paund.Nadhani "Nyinyiem" mjiandae kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya Cdm kuchukua dola 2015.
kwa sasa bado chadema ndio chama cha pili hakuna mbadala maana hata palekwenye ngome ya ccm kusipokuwa na maendeleo bado chadema inashika nafasi ya pili,usingetegemea chadema kuchukua nafasi ya pili wakati kuna cufSiasa za chadema ndio hivyo zipo ukingoni, kinapotea. Ni vyema tuanze kujiandaa kisaikolojia kukiunga chama kingine mkono ambacho kitashika hatamu ya kuongoza upinzani nchini na hatimaye kushika dola ya tanzania.
Nccr?
cuf?
chauma?
ADC?
A.C.T?
au the beautiful ones are not yet born...
Nadhani "Nyinyiem" mjiandae kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya Cdm kuchukua dola 2015.
Siasa za chadema ndio hivyo zipo ukingoni, kinapotea. Ni vyema tuanze kujiandaa kisaikolojia kukiunga chama kingine mkono ambacho kitashika hatamu ya kuongoza upinzani nchini na hatimaye kushika dola ya tanzania.
Nccr?
cuf?
chauma?
ADC?
A.C.T?
au the beautiful ones are not yet born...