fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,543
Me kimenifurahisha kajinyongekitendo cha viongozi wote wa chadema kumshambulia zito hadharani kwa sababu ya dini yake kimewahuzunisha sana watanzania
Me kimenifurahisha kajinyongekitendo cha viongozi wote wa chadema kumshambulia zito hadharani kwa sababu ya dini yake kimewahuzunisha sana watanzania
Misukule ya aina yako ndio inayochelewesha mabadilikombona huna msimamo braza?kama baamedi yani kila mteja anaeagiza sana unataka umhudumie wewe.tuliza akili halafu ungana na upande unaouamini tena usifuate watu fuata misingi.mara Juzi ulikua CDM,Jana CCM,leo asubuh ACT jioni unaomba watu wakusaidie kuchagua.acha kua na akili za kushikiwa.utamegwa,utafata misimamo ya wanaume wenzio mpaka lini?utamegwa....
kumbe siki hizi ukishinda jimbo la karatu linakuwa dola? nilikuwa sijui. kweli kupitia jf nitajifunza mengi!Nadhani "Nyinyiem" mjiandae kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya Cdm kuchukua dola 2015.
Siasa za chadema ndio hivyo zipo ukingoni, kinapotea. Ni vyema tuanze kujiandaa kisaikolojia kukiunga chama kingine mkono ambacho kitashika hatamu ya kuongoza upinzani nchini na hatimaye kushika dola ya tanzania.
Nccr?
cuf?
chauma?
ADC?
A.C.T?
au the beautiful ones are not yet born...
Endapo cdm kitafeli ktk nia zake za atleast kubaki ktk kiongozi wa kuongoza kambi ya upinzani bungeni,Sifikiri tena kama kuna chama kingine kitakachokuwa na ubavu kama cdm,ingawa nccr mageuzi iliwahi kuwa imara pamoja na cuf,Maana tumeshachoka na mavyama yakinafki,chama kingine kimaweza kuwa imara endapo tu,"Kiongozi pendwa atatoka ndani ya ccm na kuhamia chama cha upinzani"unless otherwise the die of cdm means the end of real multipatism in tanzania
Act ni baba lao.
nafasi ya chadema imeshachukuliwa na chama makini cha ACT siku nyingi sana
CCM hakitakuwa chama upinzani, kitatoweka kabisa katika ramani ya siasa za nchi hii. Mungu sio wa kuchezea dhuluma ni lazima ilipweHizi ni propagannda tu ila siku moja CCM itakuwa chama kikuu cha upinzani nchini, na sijui watapinga nini!
Nccr mageuzi ya Mrema enzi hizo sikumbuki kama tuliwahi kuisifia namna hii zaidi ya kuipiga mabomu.NCCR ya sasa haina madhara kwetu lazima tuisifu.please take my word.Adui mkuu wa nchi hii ni CCM.Hao wengine kama akina chadema,CUf nk. tunawatoa kafara tu-Najua hata wewe ukiwa mwenyewe unakiri kuwa ccm in adui mkubwa wa Tanzania na watu wake.Nimefuatilia kwa ukaribu na kugundua kuwa NCCR mageuzi ndio chama pekee kinachoweza kukabiliana na chama dume CCM bila kuweweseka kama CHADEMA.
1. NCCR hawawatumii wananchi kufanya vurugu wapate umaarufu
2. Maandamano ya NCCR huwa ya amani
3. NCCR ni chama cha watu sio mtu mmoja.
Mpaka sasa kutoka upinzani ni Mbatia pekee(mwenyekiti wa NCCR ) aliefika kwenye tukio la ghorofa kuanguka Dar wakati CHADEMA walikuwa wanapiga kili baridi wakisubiri kutoa tamko.
Mengine naomba mniwekee wenyewe hapa.