NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

Kweli wewe ni chilisosi maana hata mawazo yako nayo ni ya kichilisosi tu NCCR ya mwaka 1995 na sasa ni sawa?
 
Uzuri ni kwamba vijana wengi siku hizi ni wajanja na sio rahisi kuwafanya wajinga/mtaji kila siku, wamechoka kupelekeshwa

Mkuu, uko sahihi kabisa, vijana wa leo sio Mazezeta kabisa kufanywa Wajinga na CCM.
Tumeichoka CCM for real
 
Kweli Tawala anajitahidi ku-Devide And Rule

Ona sasa NCCR wamesahau adui yao ni nani wanalia na CHADEMA.

Mleta Mada nikuulize tu, Lengo la Hii Thread ni nini? Nipe japo sababu tatu kubwa (Tafadhali yasiwe maswali wala matusi).
Wanaotukana matusi ni chadema tu, hakuna wengine
 
Umeshindwa kunijibu kama nilivyohitaji umechagua neno moja tu la kujibu, unajua hizo ni dalili za nini?

nimepata nilichokuwa nakitafuta mkuu.

siku njema
 
This is MWIGULU NCHEMBA a.k.a CHILISOSI busy at work but doing nothing!!!!

Hizi ni Lugha za kina Mwigulu Nchembe,Nnepi Nauye na Babu yao Steven Wassira!!!!!.
Tulishasema Watanzania hatudanganyiki ng'o!!!!!

Pepooooooooz.........................................Poweeeeeeeeeeeeeeeerrrrr!!!!
CCM........Ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
CCM inajua sana kuwa isipotumia mbinu chafu mwaka 2013 haipiti.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

Hebu fikiria ili kupata mvuto chadema wameanza kuahidi uvunjifu wa sheria kama vile kupika gongo ili kuwafurahisha wavunjaji sheria, kesho chadema watatuambia bange ruksa, na hata biaSHr Y ngono ruksa wakichukua nchi ili wapate kura zaidi

JITAMBUE!
 
Mkuu Chris, heshima kwako. Hivi sababu yako ya kutoka Chadema bado ni ile kuwa ulienda Tanzania ukakuta barabara nyingi za lami au ulisabadilisha? Nilikudhalau sana kwa sababu yako hiyo. Hivi niambie kuna barabara Tz inayofanana walau na A12 au A13 unazotumia kila siku?
 
ww mchumie tumbo na mlaghai bado uko? habari ya mabox, bado unaendelea kulala barazani huko kwa David cameroon? Etii umesemaje,kweli nimekubali hauko sawasawa kiakili yaani nccr mageuzi, ni aibu kubwa sana kwa kijana kama ww kujipendekeza kwa wauaji wa ccm kama tahira ww ni zaidi ya zuzu,SHAME UPON YOU WITH UR CROOKED TEAM OF CCM BUNCH.
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

JITAMBUE!
 
Modds tusaidien tunaotumia sim tuwe na uwezo wa kujua mleta thread ni nani kabla hatuja view. Kuna watu posts zao hazistahili hata view. Please modds fanyien kazi hili.
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! Always remember that if you have nothing important to say, then it is better to keep quiet.


Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

JITAMBUE!
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

Hebu fikiria ili kupata mvuto chadema wameanza kuahidi uvunjifu wa sheria kama vile kupika gongo ili kuwafurahisha wavunjaji sheria, kesho chadema watatuambia bange ruksa, na hata biaSHr Y ngono ruksa wakichukua nchi ili wapate kura zaidi

JITAMBUE!

Ndugu yangu Lukosi hata kama CDM wamekukataa hizo hasira hazikufikishi kokote! CDM kitaendelea kudunda hata baada ya uchaguzi wa 2015. Tatizo lako hujui ufanye nini kurudi toka mafichoni haiwezekani maana.................!!
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

JITAMBUE!


Nadhani unasema UKWELI CHADEMA kitachukua NCHI na CCM kitasarambatika kama VILE KANU na Unajua wengi walidoda sababu Mali zote zilirudishwa kwenye SERIKALI hivyo BASI CCM kitabaki ni Jina na BENDERA; Watu kama nyie mliokuwa na BIASHARA zilizokuwa zinaegemea ULAJI NDANI YA CCM, MTAKUKUTIKA kama kipindi cha SPRING...

Hii itakuwa pia MWANZO na MWISHO wa UFISADI ndani na nje ya CHAMA cha MAPINDUZI kwasababu katiba itakuwa IMARA SANA na RAIS hatakuwa na NGUVU zaidi ya DOLA

Kwahiyo OPPORTUNISTS kama nyie Mnaoendesha BIASHARA MLANGO wa NYUMA bila kulipia USHURU Mtakwenda BANKRUPT...
 
Mbulumundu sio tusi bali ni mfano stahiki kwa akili yako
Bado hujajibu swali, labda nikukumbushe; Je sababu yako ya kutoka Chadema kurudi kuwa vuvuzela wa CCM ni baada ya wewe kurudi Tanzania kukuta kuna barabara nyingi za lami?
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

Hebu fikiria ili kupata mvuto chadema wameanza kuahidi uvunjifu wa sheria kama vile kupika gongo ili kuwafurahisha wavunjaji sheria, kesho chadema watatuambia bange ruksa, na hata biaSHr Y ngono ruksa wakichukua nchi ili wapate kura zaidi

JITAMBUE!

Kweli chadema wakiweka gongo free watakuwa wamekusaidia sana ili unywe kwa uhuru c kificho kama hv,,,,,, umetoka kumponda TB JOSHUA sasa unataka kumrithi??? Maana unakuja na utabiri wako wa gongo, wakati nccr wakiwa wapinzani wakuu, plot no.# 1 itakuwa chadema pale sooo kwishney sisiemu
 
Bado hujajibu swali, labda nikukumbushe; Je sababu yako ya kutoka Chadema kurudi kuwa vuvuzela wa CCM ni baada ya wewe kurudi Tanzania kukuta kuna barabara nyingi za lami?
Ngoja nikuulize tu swali moja, LINI UMERUDI HOME?

Kwa taarifa yako bongo imebadilika sana sio kama zamani, wewe kukaa huku ulaya haina maana unawazidi au una akili kuliko wale walio bongo

Kkuna kitu kinaitwa mabasi ya kasi umewahi sikia? huo mradi uko mbioni kukamilika, suala la barabara za lami siku hizi sio issue tena kwani imekuwa kitu cha kawaida hadi Iiringa dodoma ni mkeka tu siku hizi.

Pia usisahau kuwa bongo siku hizi middle class ni kitu cha kawaida na ni wengi mno sio kama zamani na huhitaji kuwa mchawi kuwa tajiri.

Siku hizi watu wanawezeshwa , nakushauri urudi nyumbani ukalijenge taifa kwani hiyo kazi unayofanya sasa hailingani kabisa na elimu yakoi

JITAMBUE!
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

Hebu fikiria ili kupata mvuto chadema wameanza kuahidi uvunjifu wa sheria kama vile kupika gongo ili kuwafurahisha wavunjaji sheria, kesho chadema watatuambia bange ruksa, na hata biaSHr Y ngono ruksa wakichukua nchi ili wapate kura zaidi

JITAMBUE!

Chama kikuu cha upinzani 2015 ni CCM hata Mwemyekiti wenu alikiri msipojirekebisha
 
Back
Top Bottom