akili huna unadhani humu jamvin tupo mbulula kama wewe?skia watakae kuunga mkono ni mazuzu kama wewe,unadhani kitendo cha chadema kuwa chama kikuu cha upinzani ni kazi ndogo eeh,kwa akili yako iyo ina maana tuendelee kuiacha ccm miaka milele manake mpaka kukikuza chama kingine ili kiwe chama kikuu cha upinzani co leo ushauri wa bure kwako acha propaganda