Mbanyitege
Senior Member
- Jul 2, 2013
- 181
- 30
Umetumwa au umejituma jitambue wewe kwanza chadema ni mpango wa mungu upende usipende.
Bado hujajibu swali, labda nikukumbushe; Je sababu yako ya kutoka Chadema kurudi kuwa vuvuzela wa CCM ni baada ya wewe kurudi Tanzania kukuta kuna barabara nyingi za lami?
Uchambuzi kutoka kwa Dr Rambirambi
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.
Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu
NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa
Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME
Hebu fikiria ili kupata mvuto chadema wameanza kuahidi uvunjifu wa sheria kama vile kupika gongo ili kuwafurahisha wavunjaji sheria, kesho chadema watatuambia bange ruksa, na hata biaSHr Y ngono ruksa wakichukua nchi ili wapate kura zaidi
JITAMBUE!
Kama DJ tu
N a wewe utakufa lini ili nile rambi rambi zako?
teh teh, naona hiyo imekuuma kweli,..waambie wajiunge umaghambani mkuu...Kama Chadema sera yao kuu ni biashara ya gongo kama alivyosema Slaa kule Kasulu, ni bora wapenda upinzani wafikirie chama kingine...
Hakuna chama chenye harufu ya UKANDA, UDINI, au UKABILA kitaongoza Tanzania. Kwa uchache CHADEMA, CUF, NCCR na vinginevyo vina harufu chafu inayotokana na hayo. Kwa sasa hakuna mbadala wa CCM. Njia rahisi wote ni kuingia humo na kushikana mashati humohumo kwa taratibu na kanuni za chama. Nje ya hapo kwa sasa ni SACCOS
Kama DJ tu
Umetumwa au umejituma jitambue wewe kwanza chadema ni mpango wa mungu upende usipende.
Kuiba pesa ya rambirambi ni kufuata sheria?Ni kweli mimi ni mbeba boksi lakini sivunji sheria
Mjusi kafiri anaakili kuliko wewe!Unaonaje na wewe ukifa ili nile rambi rambi zako?
Kuna tofauti gani kati yako na mjusi kafiri?