NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

Mkuu lukosi Acha kujipendekeza .chemba boy yupo busy n'a issue ya Zitto
 
Ngoja nikuulize tu swali moja, LINI UMERUDI HOME?

Kwa taarifa yako bongo imebadilika sana sio kama zamani, wewe kukaa huku ulaya haina maana unawazidi au una akili kuliko wale walio bongo

Kkuna kitu kinaitwa mabasi ya kasi umewahi sikia? huo mradi uko mbioni kukamilika, suala la barabara za lami siku hizi sio issue tena kwani imekuwa kitu cha kawaida hadi Iiringa dodoma ni mkeka tu siku hizi.

Pia usisahau kuwa bongo siku hizi middle class ni kitu cha kawaida na ni wengi mno sio kama zamani na huhitaji kuwa mchawi kuwa tajiri.

Siku hizi watu wanawezeshwa , nakushauri urudi nyumbani ukalijenge taifa kwani hiyo kazi unayofanya sasa hailingani kabisa na elimu yakoi

JITAMBUE!
Mkuu naenda Tanzania mara nne kwa mwaka, mara ya mwisho nimetoka 10/11/2013. Hiyo barabara kweli inajengwa na ni haki kujengwa. We are better than that.
 
Mkuu naenda Tanzania mara nne kwa mwaka, mara ya mwisho nimetoka 10/11/2013. Hiyo barabara kweli inajengwa na ni haki kujengwa. We are better than that.
Hebu jaribuni kuwa na shukurani na mumpe mtu haki yake

RAIS JAKAYA KIKWETE KAFANYA MAKUBWA SANA KUTIMIZA AHADI ZAKE

TANZANIA HAIKUWA HIVI BEFORE, TULIKUWA HATUNA BARABARA NA MAISHA YALIKUWA MAGUMU SANA

LEO HII KULA CHIPSI KUKU SIO STAREHE TENA NA KUNYWA BIA SIO KIPIMO CHA UWEZO WA KIPESA TENA

JITAMBUE WEE
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

Hebu fikiria ili kupata mvuto chadema wameanza kuahidi uvunjifu wa sheria kama vile kupika gongo ili kuwafurahisha wavunjaji sheria, kesho chadema watatuambia bange ruksa, na hata biaSHr Y ngono ruksa wakichukua nchi ili wapate kura zaidi

JITAMBUE!

vichwa maji kama wewe ipo siku mtakuja kukana kauli au posts zenu hapa jamvini,je unayoyasema yana facts au unaongea kama mediocre or layman?
 
Hakuna chama chenye harufu ya UKANDA, UDINI, au UKABILA kitaongoza Tanzania. Kwa uchache CHADEMA, CUF, NCCR na vinginevyo vina harufu chafu inayotokana na hayo. Kwa sasa hakuna mbadala wa CCM. Njia rahisi wote ni kuingia humo na kushikana mashati humohumo kwa taratibu na kanuni za chama. Nje ya hapo kwa sasa ni SACCOS
 
Hebu jaribuni kuwa na shukurani na mumpe mtu haki yake

RAIS JAKAYA KIKWETE KAFANYA MAKUBWA SANA KUTIMIZA AHADI ZAKE

TANZANIA HAIKUWA HIVI BEFORE, TULIKUWA HATUNA BARABARA NA MAISHA YALIKUWA MAGUMU SANA

LEO HII KULA CHIPSI KUKU SIO STAREHE TENA NA KUNYWA BIA SIO KIPIMO CHA UWEZO WA KIPESA TENA

JITAMBUE WEE
Mkuu Chris, ni kweli kuna changes lkn TUNATAKIWA KUWA BORA KULIKO TULIVYO SASA HIVI. Ingia Tz advert uone watu wanavyo advertise nyuma na viwanja kwa USD? Kwa nini tunafanya hivyo? Ni mambo kama hayo yanayonifanya niziulize maswali kweli tuna serikali?
 
Kama chama kina watu wanajisifu kuwa wao ni mini kabang na kuonyeshea mabango unadhani kitqpigiwaje kura hakuna mzazi[q
 
Mkuu Chris, ni kweli kuna changes lkn TUNATAKIWA KUWA BORA KULIKO TULIVYO SASA HIVI. Ingia Tz advert uone watu wanavyo advertise nyuma na viwanja kwa USD? Kwa nini tunafanya hivyo? Ni mambo kama hayo yanayonifanya niziulize maswali kweli tuna serikali?
Mkuu kwani hujui kuwa usd ndio world currency?

Mbona hapa sisi tuko UK lakini kusafirisha magari na amakontena tunachajiwa kwa usd?

Kumbuka kuwa hela nyingine zinachuja haraka sana na watu wanataka stable hela ndio maana wanatumia dollar

Kenya hela yao ina thamani kuliko yetu lakini wanatumia usd kwenye biashara nyingi tu.

Kabla ya JK mambo hayakuwa hivi.

JK kawawezesha watu ndio maana mnapata hata muda wa kumsema vibaya.

Mimi sishangai kwani hata mimi mwenyewe nimetokea kuchukiwa na watu ambao nimewaokota mitaani na kuwasaidia sembuse wewe ambae hata bongo hujakanyaga toka ujilipue miaka ishirini iliyopita?

Vipi umeishapata karatasi lakini?
 
Yaani mnapelekwa chaka na huyu jamaa? bila ubishi wala kumumunya maneno CCM ndiyo itakayokuwa chma kikuu cha upinzani mwaka 2015 na baada ya hapo hakitasikika tena,..kitakuwa kama KANU ya kenya.
 
Kuna kitu kinaitwa mabasi ya kasi umewahi sikia? huo mradi uko mbioni kukamilika,

Kuna watu ni waongo sana na sababu kuu ni vile upo ndani ya chama kilichoiweka Taifa letu hapa tulipo leo.

Mradi wa barabara za BRT zina una zaidi ya phase moja na ndio kwanza utengenezaji wake upo phase ya kwanza, na hii phase ina mwaka mmoja na ushee mbele hadi kukamilika kwake...

Sasa wewe bwana mdogo kwa kuwa una mawazo ya kimsukule kama wana CCM wote walivyo, unapiga tu porojo hapa "eti mradi upo mbioni kukamilika"...hizo phases nyingine za routes za Mbagala, Gongo la Mboto, Tegeta ushazijenga wewe?
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa kwaza watu

NCCR mageuzi kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi ujao kwani nina uhakika wajizolea majimbo mengi ya Chaema na wakati huo huo chadema itakuwa inapoteza majimbo mengi wanayoyashikilia kwa sasa

Kwa wale wanaopenda kuwa wapinzani wa kweli, huu ni wakati muafaka wa kujiunga na chama kisicho na ukabila wala udini cha NCCR MAGEUZI ambacho kwangu mimi ndio na kiona chama bora pekee nchini baada ya CCM CHAMA DUME

Hebu fikiria ili kupata mvuto chadema wameanza kuahidi uvunjifu wa sheria kama vile kupika gongo ili kuwafurahisha wavunjaji sheria, kesho chadema watatuambia bange ruksa, na hata biaSHr Y ngono ruksa wakichukua nchi ili wapate kura zaidi

JITAMBUE!
Ila wanakuonea sana. Zaidi ya 98% ya wachangiaji humu jf wamekuwa wakikupinga kwa kila unachokiandika. Pengine utakapopona maradhi yako hayo ya akili wanaweza kukuelewa na kukuthamini kama raia timamu.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo kwa sasa kinaendelea kunuka ndani ya chadema, chama ambacho ni kikuu cha upinzani nchini. Jambo hili la timua timua na kuumbuana wazi wazi kwa viongozi wa ngazi ya juu chadema imekifanya chama hiki kipoteze mvuto na heshima mbele ya jamii.

Wakati huo huo, Chama kizoefu na chenye wasomi waliobobea , NCCR mageuzi wamekuwa kimya huku wakijiimarisha zaidi na kujijengea heshima kubwa m,bele ya jamii kwa kufanya harakati zao bila vurugu na bila kuwa inaokana wewe ni Voyeur ndo maana unahangaika na vyama vya wenzako
 
Kuna watu ni waongo sana na sababu kuu ni vile upo ndani ya chama kilichoiweka Taifa letu hapa tulipo leo.

Mradi wa barabara za BRT zina una zaidi ya phase moja na ndio kwanza utengenezaji wake upo phase ya kwanza, na hii phase ina mwaka mmoja na ushee mbele hadi kukamilika kwake...

Sasa wewe bwana mdogo kwa kuwa una mawazo ya kimsukule kama wana CCM wote walivyo, unapiga tu porojo hapa "eti mradi upo mbioni kukamilika"...hizo phases nyingine za routes za Mbagala, Gongo la Mboto, Tegeta ushazijenga wewe?
Yaani wewe masalakulangwa unaniita mimi bwana mdogo???

Kweli dunia hii imekwisha
 
Ngoja nikuulize tu swali moja, LINI UMERUDI HOME?

Kwa taarifa yako bongo imebadilika sana sio kama zamani, wewe kukaa huku ulaya haina maana unawazidi au una akili kuliko wale walio bongo

Kkuna kitu kinaitwa mabasi ya kasi umewahi sikia? huo mradi uko mbioni kukamilika, suala la barabara za lami siku hizi sio issue tena kwani imekuwa kitu cha kawaida hadi Iiringa dodoma ni mkeka tu siku hizi.

Pia usisahau kuwa bongo siku hizi middle class ni kitu cha kawaida na ni wengi mno sio kama zamani na huhitaji kuwa mchawi kuwa tajiri.

Siku hizi watu wanawezeshwa , nakushauri urudi nyumbani ukalijenge taifa kwani hiyo kazi unayofanya sasa hailingani kabisa na elimu yakoi

JITAMBUE!

DUH kweli chama chenu mmekichoka sasa, hata nafasi ya pili kumbe hamna uhakika nayo, ndo baasi tena
Buriani CCM, tena muangalie vizuri hata TLP watawazidi kwa wingi kura,,,,,CHADEMA IPO IMARA KUONGOZA NCHI 2015
 
Hebu jaribuni kuwa na shukurani na mumpe mtu haki yake

RAIS JAKAYA KIKWETE KAFANYA MAKUBWA SANA KUTIMIZA AHADI ZAKE

TANZANIA HAIKUWA HIVI BEFORE, TULIKUWA HATUNA BARABARA NA MAISHA YALIKUWA MAGUMU SANA

LEO HII KULA CHIPSI KUKU SIO STAREHE TENA NA KUNYWA BIA SIO KIPIMO CHA UWEZO WA KIPESA TENA

JITAMBUE WEE
Zingatia red,
mbona kabla hujafukuzwa chadema husemi hayo?
Afu tumesikia we ni mbeba mizigo ya wasafiri, basi labda uchovu tu huo... we kwa taarifa yako.. hakuna chama badala ya Chadema, sema tu wewe hata ukiomba kurudi hawakupokei, ndo maana unahangaika.
 
Umetumwa hakka ww kafanya mazur yap? mabaya ndo mengi thus ccm ni maiti mazish yake 2015... we need "The true independance for the majolity beneficial" cdm juu sana, ccm goes 2the hell
 
Back
Top Bottom