Misungwi Yetu
Senior Member
- Oct 7, 2017
- 103
- 39
- Thread starter
- #21
kwani wewe unalijua jina langu? hahahaaaaaaa watanzania bwana, kwa kihere here hawajamboUnawapigia kelele? Hautokaa ulione jina lako ng'o
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wewe unalijua jina langu? hahahaaaaaaa watanzania bwana, kwa kihere here hawajamboUnawapigia kelele? Hautokaa ulione jina lako ng'o
Haya majina nbs HBS magari ya kule taboraOfisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) -Mwanza, tunawaomba mtoe majina ya waombaji ambao wamechaguliwa kufanya usaili kwa nafasi za Udadisi katika Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi ( Household Budget Survey - HBS).
Fanyeni kama walivyofanya katika Mkoa wa Dar es Salaam. Tukifika ofisini kwenu kuulizia hamtoi ushirikiano wowote, toeni majina jamani tumesubiri sana. Maisha magumu huku kijijini mjue
tunataka mchakato uwe kama wa dsm. watoe majina yote ya walioitwa kwenye usaili, wamepandikiza watu waoMbna Mwanza usaili ulishafanyika, saizi tunasubiri majibu hii n week ya 2 hawajatoa majibu kwa waliofuzu
Tulipigiwa cm bna, sema nao matokeo ya usaili kimya mpk keshoyaani usaili wa kuitana kimya? kweli?
Kwa mwanza sifaham chochoteh
uku mwanza waliitwa lini kwenye huo usaili? mbona huku misungwi hatujaambiwa chochote tulio omba hiyo kazi jamani?
Karibu nchi nzima hakuna matokeo ya hbs yaliyotolewa kwenye mikoa waliofanya usaili had sasaMbna Mwanza usaili ulishafanyika, saizi tunasubiri majibu hii n week ya 2 hawajatoa majibu kwa waliofuzu
Hiyo haifunguki bab imekoruptWatu mbona mko nyuma sana usaili ni kesho tarehe 9/10/2017 na majina hayo hapo
inategemea na mradi uliopoKwa aliyewai kufany kazi na NBS atujuze utaratib wa malipo yao upo
1. N posho
2 . Ujira wa mwezi na n kias gn
Laki tatu kwa mwezi kwa HBSKwa aliyewai kufany kazi na NBS atujuze utaratib wa malipo yao upo
1. N posho
2 . Ujira wa mwezi na n kias gn
jamani kwanini sasa wafanye usaili wa kihuni? si wangeita kama dsm? ngoja nimuombe baba yetu RC atusaidie tu, hakuna namnaWaliandika jamani kwenye tangazo only shortlisted candidates ndio wataitwa kwenye usaili ukiona hujapigiwa jua umekosa hivo
Mkoa ganijamani wakiita watu kwenye usaili mtustue humu..wengine tuko nje ya mkoa wakuu
kwa kwelijamani kwanini sasa wafanye usaili wa kihuni? si wangeita kama dsm? ngoja nimuombe baba yetu RC atusaidie tu, hakuna namna
Ukiona hukuitwa hata kwenye usaili ujue ulikua huna sifa!yaani usaili wa kuitana kimya? kweli?