Maskini wa Maskini
Senior Member
- Aug 29, 2014
- 120
- 54
Hawa NBS ni janga kwa kweli, kazi za Enumerator - HBS (Utafiti wa kaya na kipato) wamefanya za kimjuano. Wanatumiana sms wenyewe tuu, Mungu anawaona. Kulikuwa na haja gani basi kusumbua watu wawe na barua za Watendaji wa Vijiji ama Mtaa, wakati wakijua kabisa watapeleka watu wao huko?
Hili li Nchi kwa kweli inabidi tuanze kufikiria kutafuta Uraia wa Nchi nyingine tu
Waweke majina ya Nchi nzima, kama walivyofanya kwa Wadadisi -Kilimo. Wasifanye ujanja ujanja hapa, tumeshawashitukia!!
Hili li Nchi kwa kweli inabidi tuanze kufikiria kutafuta Uraia wa Nchi nyingine tu
Waweke majina ya Nchi nzima, kama walivyofanya kwa Wadadisi -Kilimo. Wasifanye ujanja ujanja hapa, tumeshawashitukia!!