Misungwi Yetu
Senior Member
- Oct 7, 2017
- 103
- 39
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) -Mwanza, tunawaomba mtoe majina ya waombaji ambao wamechaguliwa kufanya usaili kwa nafasi za Udadisi katika Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi ( Household Budget Survey - HBS).
Fanyeni kama walivyofanya katika Mkoa wa Dar es Salaam. Tukifika ofisini kwenu kuulizia hamtoi ushirikiano wowote, toeni majina jamani tumesubiri sana. Maisha magumu huku kijijini mjue
Fanyeni kama walivyofanya katika Mkoa wa Dar es Salaam. Tukifika ofisini kwenu kuulizia hamtoi ushirikiano wowote, toeni majina jamani tumesubiri sana. Maisha magumu huku kijijini mjue