Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Kawaulize NBC
duh we tiqo eeeh?
Kawaulize NBC
hiyo 450,000 ni kabla ya kukatwa makato
Ni Tsh.350,00/= take home
Ni Tsh.350,00/= take home
NBC wapo watumishi wa aina mbili kwa hiyo kitengo unayoisema, lipo kampuni 'erolink' linamkataba na NBC wa baadhi ya idara, hawa wanalipwa kuanzia Tsh 450,000/= sijui wanaoajiriwa na NBC moja kwa moja
hyo 450000/= ni baada ya kukatwa makato yote au,na kwa mtu mwenye elimu gani?
Nbc wanatoa 360k,take home.