Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,503
Pengine hii inaweza kuwa ndio sababu kubwa ya wengi wao kufeli. System mzima ya mitihani ya NBAA/CPA imeundwa kwa watahiniwa ambao wana experience ya accounting field angalau ya mwaka mmoja. Sasa kutoka fresh-from-school mpaka ku-tackle hiyo mtihani kunaweza kuwa ni mlima mmoja mrefu sana kuupanda.
Pia tusisahau kuwa mitihani hiyo iko very intimidating. Unaweza kujiandaa vilivyo, lakini jinsi mazingira ya mtihani yalivyowekwa, ni rahisi 'kuwehuka.'
Nakumbuka nilivyo-sit for CPA exam (U.S. system), nilipata headache moja ya nguvu sana. Tena afadhali siku hizi, mitihani iko computerized na wanakuruhusu kufanya one part at a time. Mimi nili-sit mtihani wa mwisho wa paper-and-pencil (Nov. 2003). Yaani ilikuwa unafanya part zote nne kwa wakati mmoja (Sat and Sun: 8am - 5pm). Kamwe sitosahau weekend ile.
Hahahahaaaa...Mazee sasa hapo unataka ku impress watu au? Maana ni kama unasema wewe ni CPA (even though you didn't specifically say that)....sawa bana mi ngoja niendelee na janitorial work yangu hapa....