Nayakumbuka maneno ya Magufuli vema

Nayakumbuka maneno ya Magufuli vema

Wewe pia ni kimada wake uliyepewa nyumba?

Mbona uanshabikia sana ukimada? Tabia ya ukimada peleka kwenu. Au wewe ni kimada wa jamaa yako? Hapa tunakazi ya uchaguzi wewe unaleta mambo ya ukimada, ndorobo wewe.
 
Uimara wa kiongozi ni uimara wa taifa ANGALIA HATA MAZOEZI ANAYOFANYA MAGUFULI. HOYEE
 
ni magufuli tena na hapana shaka ushindi wake ni wa kishindo,hapana shinikizo la aina yoyete ushindi ni lazima
 
Magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli
 

Attachments

  • 1445604395595.jpg
    1445604395595.jpg
    26 KB · Views: 117
Majengo, kiborloni, pasua, soweto, msaranga, dar street, kcmc, mabogini, majengo kwa mtei na maeneo mengine ya moshi mjini, tulimwelewa vema Magufuli ndiyo maana tatamchagua awe Rais wa Tanzania.

sema NITAMCHAGUA sio tutamchagua, hata mkeo mwenyewe hampi kura mosha.
 
Back
Top Bottom