Nayakumbuka maneno ya Magufuli vema

Nayakumbuka maneno ya Magufuli vema

kura yako iwe hivi
 

Attachments

  • 1445514517386.jpg
    1445514517386.jpg
    35 KB · Views: 164
Valentina, kaa mkao wa kula maana anakuja mara tu baada ya uchaguzi kupita. NEC hawatakuwa wachoyo kufanya kazi yao kisheria.

Nina imani na Lowassa oya oya oyaa!

Lowassa kweliiii.... Kweli kweli kweli Lowassa kweliiii

Tushirikiane kuimba basi
 
Lazima atatoa kweli povu, maana hata jana BBC aliwadhihirishia Watz kwamba mtatoka sana povu maana yeye ameamua kurudi kuchunga ng'ombe wake. Sijui wewe utakuwa na hali gani maana kama sasa unatoa mapovu kiasi hicho si utatoa upepo maana umekujaa sana?

Pole wee watu wa Moshi wanajitambua sanaaa, Mosha atasubiri mnoo. Moshi ni Jafari tuu, Yahaya wenu peleka hukoo.
 
NIPO MOSHI HUYO MOSHA HAWEZ SHINDA HATA AOMBE KURA UCHI. By the way mji wa mosh hauna kero zaid ya mja ya wauza mitumba na tayar ndesa pesa kashajenga soko la kisasa maeneo ya kb. mosha hahitajiki moshi atafanywa alichofanyiwa mama minde subir j2

Thank you. Hawa wajamaa hapa wanaleta ushabiki tuu, CCM kushinda Moshi ni ndoto. Ndesamburo hata kama alikua anawafuata vijana wakitoka Bungeni, amefanya kazi na watu wameiona. Kiti amemuachia Jafari sasa hivi. Huyo Mosha yatamkuta yaliyomkuta Salakana na Mama Minde. Watu wa Moshi wanajitambua hawafuati mkumbo.
 
Thank you. Hawa wajamaa hapa wanaleta ushabiki tuu, CCM kushinda Moshi ni ndoto. Ndesamburo hata kama alikua anawafuata vijana wakitoka Bungeni, amefanya kazi na watu wameiona. Kiti amemuachia Jafari sasa hivi. Huyo Mosha yatamkuta yaliyomkuta Salakana na Mama Minde. Watu wa Moshi wanajitambua hawafuati mkumbo.

Semeni sana, kazi ipo tayari, Magufuli, Mosha ndani ya Moshi. Mdomo kuleeeeee.
 
Nina imani na Lowassa oya oya oyaa!

Lowassa kweliiii.... Kweli kweli kweli Lowassa kweliiii

Tushirikiane kuimba basi

Kweli nina imani na Magufuli yeye anatosha, wengine wa nini. Ukisema lowasa tambua hiyo ni "shake well before use", hatari yake ni kwamba ogopa dawa feki "Lowasa" itaongeza matatizo ya Tanzania.

Lowasa ni shiiiida!
 
Kweli nina imani na Magufuli yeye anatosha, wengine wa nini. Ukisema lowasa tambua hiyo ni "shake well before use", hatari yake ni kwamba ogopa dawa feki "Lowasa" itaongeza matatizo ya Tanzania.

Lowasa ni shiiiida!

We sasa naona tunapishana lugha. Hebu nipishe nile muhogo wangu mie
 
Magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli
 
Back
Top Bottom