Nayakumbuka maneno ya Magufuli vema

Nayakumbuka maneno ya Magufuli vema

12122547_903630489718847_713999003090196057_n.jpg

SILISABANGOO, Asante sana kutambua umuhimu wa Magufuli katika nchi yetu.
 
Nitamkosa sana magufuli na maigizo yake.sijui atarudi chato au atabaki DAR baada ya kupigwa chini 25/10/.nasikia ni mkulima mzuri wa pamba.
 
Nitamkosa sana magufuli na maigizo yake.sijui atarudi chato au atabaki DAR baada ya kupigwa chini 25/10/.nasikia ni mkulima mzuri wa pamba.

Pole kwa mawazo hayo. Msubiri Magufuli ndiye yeye Rais wa Awamu ya Tano.

Lowasa mchumia tumbo anatamaa sana ya uongozi. HAFAI HATA KIDOGO ANAFAA KUWA MFUGAJI NA SII RAIS.
 
Dr. Magufuli alisema kuwa mji wa Moshi unachangamoto nyingi zinahitaji kutatuliwa, wamchague awe Rais arekebishe yaliyosahaulika na wakazi wa Mji huo maana mwakilishi wao aliyetangulia alikuwa mtokaji mzuri bungeni akiwafuata vijana bila kutambua anawaathiri wananchi wa mji wa Moshi.

Alisema "Moshi hoyeeee, chagua Magufuli kuboresha mji wa Moshi, Mosha nikimaanisha mgombea ubunge wa jimbo la Moshi, Moshi-Mosha, Mosha-Moshi. Nileteeni Mosha Tufanye kazi mana kwangu Hapa ni Kazi Tu!"

Hata wale walioambiwa wpige mbizi baharini kutoka na kwenda Kigamboni wanayakumbuka maneno ya Magufuli vyema.
Hata wale walioambiwa 'wakunye' barabarani watengeneze lami ya kinyesi bado wanayakumbuka maneno hayo!
 
Back
Top Bottom