Bukama Batoko
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 820
- 137
Dr. Magufuli alisema kuwa mji wa Moshi unachangamoto nyingi zinahitaji kutatuliwa, wamchague awe Rais arekebishe yaliyosahaulika na wakazi wa Mji huo maana mwakilishi wao aliyetangulia alikuwa mtokaji mzuri bungeni akiwafuata vijana bila kutambua anawaathiri wananchi wa mji wa Moshi.
Alisema "Moshi hoyeeee, chagua Magufuli kuboresha mji wa Moshi, Mosha nikimaanisha mgombea ubunge wa jimbo la Moshi, Moshi-Mosha, Mosha-Moshi. Nileteeni Mosha Tufanye kazi mana kwangu Hapa ni Kazi Tu!"
Alisema "Moshi hoyeeee, chagua Magufuli kuboresha mji wa Moshi, Mosha nikimaanisha mgombea ubunge wa jimbo la Moshi, Moshi-Mosha, Mosha-Moshi. Nileteeni Mosha Tufanye kazi mana kwangu Hapa ni Kazi Tu!"