Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,983
- 11,795
Angefanya hayo kwenye wizara alizoongoza ungekuwa kusahihi kuota hizo ndoto. Wizara anayoingoza mpaka sasa japo kwa makosa ina hati chafu ya ukaguzi (Qualified Opinion). Zaidi ya billion 350 hazina maelezo zimetumika vp na kuna penalties zenye thamani ya billion 900 za kulipwa makandarasi kutokana na uzembe mbalimbali. Kama wizara imemshinda kwanini serikali aiweze?
Pole!!....Kwahiyo wewe unaamini yule mzee aliyeachia ngazi kwa kashfa ya UFISADI ataiweza hii nchi?