Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
Ni hatari mkuu...yaani mboga za Dar tunakula uchafu mtupuYaani mboga za Dar mdogo wangu ni kizungumkuti! Watu wanalima mpaka kwenye ma-waste water ya DAWASA!
Ni hatari mkuu...yaani mboga za Dar tunakula uchafu mtupuYaani mboga za Dar mdogo wangu ni kizungumkuti! Watu wanalima mpaka kwenye ma-waste water ya DAWASA!
Mwache ajiachishe tu! Kama ku-dead ata-dead tu!Ule nyama usile...utakuf tuu.
Hao wanyama nani awale?
Kutana na kitimoto safi....halafu uje
Huu ni uongo. Ronaldo anakula nyama na anatumia animal products. Vegetarian Ronaldo na huwa anaangalia bullfights. Na mbaya zaidi keshafanya matangazo ya KFC.Ulaji wa nyama unahusishwa sana na magonjwa ya moyo na cancer. Nimeishi baadhi ya nchi zenye walaji wa nyama sana na nimeshuhudia. Nyama kwa asili ni chakula chenye asidi nyingi na uwepo huo wa asidi unaongeza hatari ya mwili kushambuliwa na magonjwa.
Anayeweza kuacha ulaji wa nyama anajiongezea umri wa kuishi, kuonekana mdogo tofauti na umri wake, kuongeza performance hasa kwenye michezo (Ronaldo na Messi pamoja na wanamichezo wengi ni vegetarians), na zaidi kujisikia fit siku zote.
Umetuzidi nini sasa sisi tunaokula nyama mazee? Tusitishane aisee!Kila jambo linaanzia kwako,maamuzi. Hakuna mtu atakusaidia mbinu,bila wewe kuamua. Sili nyama mwaka wa 11 sasa. Isipokuwa nakula samaki. Chakula changu kikuu ni matunda,hasa usiku
Mkuu katika uchinjaji kuna kitu tunaita "Humane slaughter" hii ni njia ya kuzuia maumivu wakati wa kuchinja. Hapa mnyama tunamfanyi stunning kwa kutumia bunduki ya umeme au ya Baruti. Hapo mnyama anazimia ndipo anachinjwa bila kujua!Kuchinja kunakotakiwa kwa wanyama, kuku nk, ni kukata koo la mnyama hadi kukata mishipa miwili mikubwa ya damu inayopeleka damu kichwani, damu inapokuwa imeisha ndipo inatakiwa kukata shingo lote, wataalamu wa Biology wanasema unapochinja koo hadi kwenye hiyo mishipa mnyama anapata maumivu kidogo sana kuliko kuchinja kwa kukata shingo lote kwa maramoja. Shingo linatakiwa kumaliziwa pale ambapo damu yote ya.mnyama imemalizika kutoka hapo ndipo mawasiliano kati ya ubongo na mwili yanapotoweka na hivyo kwa wakati huo ukikatashingo lote.mnyama hapati maumivu
Sijui utakuwa uliletwa hapa duniani kwa ajili ya nini aisee! Mungu alipotuweka hapa dunia alitufanyia kila kitu cha kula sisi na kufaudu matunda ya uumbaji! Mimi siachi nyama abadan!Yaani unaacha kula nyama
Sasa kuna raha gani ya kuishi
Mi nawashangaa sana hawa vegetariansSijui utakuwa uliletwa hapa duniani kwa ajili ya nini aisee! Mungu alipotuweka hapa dunia alitufanyia kila kitu cha kula sisi na kufaudu matunda ya uumbaji! Mimi siachi nyama abadan!
Wapi nimekutisha?. Nilichokuzidi miaka yako hiyo 27 kimuonekano uko sawa na mimi wa miaka 40. Hata tukishindana mbio mimi na wewe nakutoa knock outUmetuzidi nini sasa sisi tunaokula nyama mazee? Tusitishane aisee!
Huwe ️️️Kwanza inabidi huwe Rastafarian uvute sigara bwege kila kitu kitakuwa sawa
Huwe ️️️
Uwe ️️️