upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,072
- 4,482
Binafsi nakula nyama lakini sijawahi kuchinja hata kuku na ikitokea nikashuhudia mnyama yeyote akichinjwa mbele yangu,count me out kwenye hicho kitoweo.
Nina huruma na ni muoga wa kuona damu kitu kilichofanya enzi hizo nibadili gear angani kwenye kusoma PCB, hapa nilipo sijawahi shuhudia hata mwanangu akichomwa sindano, ikitokea nahisi nitatokwa chozi. Huwa najikalia zangu nje ya chumba cha daktari..
Nina huruma na ni muoga wa kuona damu kitu kilichofanya enzi hizo nibadili gear angani kwenye kusoma PCB, hapa nilipo sijawahi shuhudia hata mwanangu akichomwa sindano, ikitokea nahisi nitatokwa chozi. Huwa najikalia zangu nje ya chumba cha daktari..