Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,900
Kwema Wakuu!
Kuna vitu bhana licha ya kupewa kashfa kadhaa na watu au Wataalamu WA Afya au Watu wa dini lakini ukijiingiza katika kumi na nane zao ujue kutoka sio kazi ndogo, yaani hutatoka kirahisi. Vitu hivyo ni;
1. Punyeto
Wengine mpaka wameoa lakini wameshindwa kuacha hii kitu.
2. Kitimoto
Huyu mnyama licha ya kupigwa vita na dini karibu zote, sio Waislam, sio Wakristo vitabu vyote vinaeleza kuwa ni najisi na haliwi lakini ukishakula nyama yake kutoka ni ngumu.
3. Sigara
Inasemekana ni rahisi kuacha pombe lakini mziki wa sigara sio mchezo. Kuacha mpaka uombewe.
4. Pombe
5. Chipsi Yai
Hiki chakula tuacheni masikhara ni kitamu kuliko vyakula vingi, hata Baga na pizza havioni ndani.
Licha ya kupigwa vita hasa Kwa wanaume lakini hiki chakula sio leo wala kesho kuachwa kuliwa.
Chips zege Kwa wanawake kuacha ni kitu ambacho hakiwezrkaniki,
6. Uzinzi na Kuchepuka
Ukishaanza kuchepuka kuacha ni kazi kubwa Sana.
Hakuna raha ya Mapenzi Kwa wanaume hasa Kwa mwanamke usiye na uhakika naye. Ukishajiingiza kwenye uzizi kutoka ni KAZI Sana.
7. Madawa ya kulevya
8. Ulozi
Wataalamu wa mambo wanakuambia ukijiingiza kwenye ulozi kutoka hutotaka utoke. Tena ukishaanza Kula nyama za watu.
Ongezea mengine
Kuna vitu bhana licha ya kupewa kashfa kadhaa na watu au Wataalamu WA Afya au Watu wa dini lakini ukijiingiza katika kumi na nane zao ujue kutoka sio kazi ndogo, yaani hutatoka kirahisi. Vitu hivyo ni;
1. Punyeto
Wengine mpaka wameoa lakini wameshindwa kuacha hii kitu.
2. Kitimoto
Huyu mnyama licha ya kupigwa vita na dini karibu zote, sio Waislam, sio Wakristo vitabu vyote vinaeleza kuwa ni najisi na haliwi lakini ukishakula nyama yake kutoka ni ngumu.
3. Sigara
Inasemekana ni rahisi kuacha pombe lakini mziki wa sigara sio mchezo. Kuacha mpaka uombewe.
4. Pombe
5. Chipsi Yai
Hiki chakula tuacheni masikhara ni kitamu kuliko vyakula vingi, hata Baga na pizza havioni ndani.
Licha ya kupigwa vita hasa Kwa wanaume lakini hiki chakula sio leo wala kesho kuachwa kuliwa.
Chips zege Kwa wanawake kuacha ni kitu ambacho hakiwezrkaniki,
6. Uzinzi na Kuchepuka
Ukishaanza kuchepuka kuacha ni kazi kubwa Sana.
Hakuna raha ya Mapenzi Kwa wanaume hasa Kwa mwanamke usiye na uhakika naye. Ukishajiingiza kwenye uzizi kutoka ni KAZI Sana.
7. Madawa ya kulevya
8. Ulozi
Wataalamu wa mambo wanakuambia ukijiingiza kwenye ulozi kutoka hutotaka utoke. Tena ukishaanza Kula nyama za watu.
Ongezea mengine