NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
unaweza kuona ni rahisi kuacha kwasababu wewe hauna hili tatizo lakini kwa mtu ambae ni mraibu huu ni mtihani mzito, ni sawa na kumwambia mtu aache uraibu wa simu, aache ulevi wa pombe, aache sigara, aache kamali, n.k.. sio rahisi kihivyo, Nimekuja kwa unyenyekevu humu ndani muwezi kunipa ushauri na mbinu zinazoweza kunisaidia kuacha hiuu uraibu maana kiukweli unanigharimu.
Zamani nilikuwa mara mbili ama mara tatu asubuhi kunywa chai, chakula cha mchana na cha usiku
Lakini kwa sasa ni lazima nile mara tatu na kuna ratiba za ziada,,,
ASUBUHI
Asubuhi saa moja nakunywa chai na maandazi au chapati
mida ya saa nne asubuhi lazima nakunywa tena chai ya pili na chapati moja.
MCHANA
Chakula cha mchana saa saba nakula ugali au wali,,,, pembeni parachichi na maziwa ya mgando
mida ya saa tisa hivi nanunua karanga za 200 na chungwa la 200
Jioni mida ya saa 11 nagonga chips nyama na pepsi
USIKU
mida ya saa moja hivi wakati narudi kwangu huwa naunua crips ya ndizi au mwindi wa kuchoma
chakula rasmi cha usiku mida ya saa tatu nakula ugali au wali,,,, pembeni maziwa ya kuchemsha huwa nalipa bili kwa jirani mwenye ngombe,
WEEKEND
ratiba ya msosi mkuu wa mchana pilau nyama ama biriani ....
ratiba ya msosi mkuu wa usiku mbuzi wa kuchoma ama kuku wa kuchoma
MAJI.
Kila siku lazima ninywe maji lita na nusu
kiukweli ni kama utumbo wangu umetanuka unahitaji supply zaidi.
Ni vipi nawezaje kuacha huu uraibu
Zamani nilikuwa mara mbili ama mara tatu asubuhi kunywa chai, chakula cha mchana na cha usiku
Lakini kwa sasa ni lazima nile mara tatu na kuna ratiba za ziada,,,
ASUBUHI
Asubuhi saa moja nakunywa chai na maandazi au chapati
mida ya saa nne asubuhi lazima nakunywa tena chai ya pili na chapati moja.
MCHANA
Chakula cha mchana saa saba nakula ugali au wali,,,, pembeni parachichi na maziwa ya mgando
mida ya saa tisa hivi nanunua karanga za 200 na chungwa la 200
Jioni mida ya saa 11 nagonga chips nyama na pepsi
USIKU
mida ya saa moja hivi wakati narudi kwangu huwa naunua crips ya ndizi au mwindi wa kuchoma
chakula rasmi cha usiku mida ya saa tatu nakula ugali au wali,,,, pembeni maziwa ya kuchemsha huwa nalipa bili kwa jirani mwenye ngombe,
WEEKEND
ratiba ya msosi mkuu wa mchana pilau nyama ama biriani ....
ratiba ya msosi mkuu wa usiku mbuzi wa kuchoma ama kuku wa kuchoma
MAJI.
Kila siku lazima ninywe maji lita na nusu
kiukweli ni kama utumbo wangu umetanuka unahitaji supply zaidi.
Ni vipi nawezaje kuacha huu uraibu