Nawezaje kutuma jambo moja kwa moja kwa Rais au Wasaidizi wa Rais?

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,226
26,048
Nina mawazo kuhusu mambo ya kuwekwa katika mpango mpya wa maendeleo wa Taifa.

Mawazo yangu siwezi kuyaweka humu maana inaweza yakaibwa na nchi nyingine hivyo kupelekea mambo hayo kwenda kufanya na nchi nyingine na sisi tukaendelea kubaki nyuma.

Nawajua watendaji wetu wengi, hawasomagi meseji wala kujibu message wanazotumiwa, ikiwemo kwenye social media zao.

Najua pia Rais amezuia kutumiwa direct message kwenye mitandao ikiwemo twitter na kwingineko.

Najua Rais yupo humu na Wasaidizi wake wapo humu pia.

Nataka kutuma haya mawazo. Naomba wanijibu nawafikieje?
 
Nina mawazo kuhusu mambo ya kuwekwa katika mpango mpya wa maendeleo wa Taifa.

Mawazo yangu siwezi kuyaweka humu maana inaweza yakaibwa na nchi nyingine hivyo kupelekea mambo hayo kwenda kufanya na nchi nyingine na sisi tukaendelea kubaki nyuma.

Nawajua watendaji wetu wengi, hawasomagi meseji wala kujibu message wanazotumiwa, ikiwemo kwenye social media zao.

Najua pia Rais amezuia kutumiwa direct message kwenye mitandao ikiwemo twitter na kwingineko.

Najua Rais yupo humu na Wasaidizi wake wapo humu pia.

Nataka kutuma haya mawazo. Naomba wanijibu nawafikieje?
Cheki na Miso Missondo
 
Kwa mfumo wa nchi yetu ulivyo sidhani kama hata iyo barua ataiona
Kwahiyo umeamini wanahitaji maoni?! Hiyo kujifanya wanahitaji maoni ni ili kuhadaa umma ili waonekane wanashirikisha wananchi, lakini kiukweli wana matakwa yao tayari. Kitu Pekee wanachoweza kusikiliza ni hoja za wanasiasa wa upinzani wanapowakejeli. Hayo maoni ya wananchi hata yawe ya msingi vipi huwa hawana muda wa kuyapitia na kuyachukua.
 
Back
Top Bottom