KanyeWest_Tz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2026
- 238
- 514
Hivi Marcostilone ulimpa nini huyu binti? 🥺Marcostilone
Vipi twins kwenu wapo🤣🤣
Hivi Marcostilone ulimpa nini huyu binti? 🥺Marcostilone
Vipi twins kwenu wapo🤣🤣
Nakumbuka twin 😊Kwanini kwanza hujachangia mada Twin? 😅 Unakumbuka nimewahi kukueleza kuhusu hili?
Kama wewe ni mwanaume oa wasichana mapacha unaweza kubahatisha mkapata mapacha pia.Hi guys,
Nawezaje kupata watoto mapacha?, ikiwa kuna mtu ana uelewa juu ya jambo hili naomba kufahamishwa tafadhali.
Najua humu jukwaani kuna ma great thinkers wa kutosha.
Naomba kuwasilisha.
Naam Crush, unaweza kumwambia, hope atajifunza kitu pia.Nakumbuka twin 😊
Kwahiyo na mleta mada nimuambie 😅
Subiri kwanza tuone kama kwangu itafanya kazi baby 🤣🤣Naam Crush, unaweza kumwambia, hope atajifunza kitu pia.
Weee siwezi kujichanganyaNenda Sumbawanga Kuna Mto Mapacha Ukinywa Maji Yake Unapata

Mnafikiri vina muda basi... Mtaachana tuuSubiri kwanza tuone kama kwangu itafanya kazi baby 🤣🤣
Bado siamini ule ushauri wako
Pacha usisahau nilisema pia mwisho wa siku ni kudra za Mwenyezi Mungu ndio zinazoamua hili jambo litokee.Subiri kwanza tuone kama kwangu itafanya kazi baby 🤣🤣
Bado siamini ule ushauri wako
Basi nifanye niwe baba wa watoto wakoKtk kizazi chetu, walizaliwa mapacha 3, m1 alifariki wamebaki 2 ni watu wazima kwa sasa,
Na hao mapacha m1 wapo amezaa mapacha mara 2.
Ila kule kwetu kuna dawa ya asili unatumia, inaitwa "mgelengano, ukiweza masharti yake unazaa mapacha vizuri tuu.
Hii dawa hata ukitumia kwa mifugo wanazaa mapacha tu kila uzao wao.
Basi nifanye niwe baba wa watoto wako
Nzuri hii, Je mikoani inaweza kupatikana hiyo dawa?Ktk kizazi chetu, walizaliwa mapacha 3, m1 alifariki wamebaki 2 ni watu wazima kwa sasa,
Na hao mapacha m1 wapo amezaa mapacha mara 2.
Ila kule kwetu kuna dawa ya asili unatumia, inaitwa "mgelengano, ukiweza masharti yake unazaa mapacha vizuri tuu.
Hii dawa hata ukitumia kwa mifugo wanazaa mapacha tu kila uzao wao.
Kumbe?Ktk kizazi chetu, walizaliwa mapacha 3, m1 alifariki wamebaki 2 ni watu wazima kwa sasa,
Na hao mapacha m1 wapo amezaa mapacha mara 2.
Ila kule kwetu kuna dawa ya asili unatumia, inaitwa "mgelengano, ukiweza masharti yake unazaa mapacha vizuri tuu.
Hii dawa hata ukitumia kwa mifugo wanazaa mapacha tu kila uzao wao.
inatokea mjukuu mmoja akazaa huenda akawa huyo aliyemchaguaHii bado pia ni kubet hata kama huyo bibi alikuwa na mapacha ina maana wajukuu wote watazaa mapacha?au inatokea mjukuu mmoja tu ndio atabahatika?
Bana mi nataka mapacha 😊😆Pacha usisahau nilisema pia mwisho wa siku ni kudra za Mwenyezi Mungu ndio zinazoamua hili jambo litokee.
Tusije tukafeli, mzigo ukanibebesha mimi 😅.
Ona kwanza ulivyo mchele mcheleMisoji si nilikuambia ukiwashwa na ukiwa na hamu ya kupandwa uje uniambie.
Mambo gani haya ya kuja hadharani ku express feelings zako haifai hiyo baby wangu misoji.