ALLY MWINYI
Member
- Aug 10, 2019
- 19
- 18
Habarini ndugu
Nina shida na mkopo wa kiasi cha shilingi milion 6 kwa mtu binafsi au microfinance ambayo hawaitaji lesen ya biashara au niwe mwajiriwa ili kupata mkopo
Nahitaji mkopo huo kwa dhamana ya kiwanja cha mita 23 kwa 23 kilichopo kibaha kwa mathias , mtaa unaitwa mita 50 kiwanja kipo eneo limejengeka kipo pembezon mwa barabara ya mtaa
Nina shida ya milion 6 kwa riba tutakayokubaliana.
Nimeshindwa kupata benk kutokana na wanahitaji zaidi leseni ya biashara
Au kama kuna mtu anafahamu wapi naweza kupata mkopo wa kiasi hicho kwa pasipo sharti hilo anielekeze.
0613008960, 0711608960.
Nina shida na mkopo wa kiasi cha shilingi milion 6 kwa mtu binafsi au microfinance ambayo hawaitaji lesen ya biashara au niwe mwajiriwa ili kupata mkopo
Nahitaji mkopo huo kwa dhamana ya kiwanja cha mita 23 kwa 23 kilichopo kibaha kwa mathias , mtaa unaitwa mita 50 kiwanja kipo eneo limejengeka kipo pembezon mwa barabara ya mtaa
Nina shida ya milion 6 kwa riba tutakayokubaliana.
Nimeshindwa kupata benk kutokana na wanahitaji zaidi leseni ya biashara
Au kama kuna mtu anafahamu wapi naweza kupata mkopo wa kiasi hicho kwa pasipo sharti hilo anielekeze.
0613008960, 0711608960.