Asante sana, nadhani nitafuata ulichoniambia. Ni OGKujua kama ni original which I believe ni original kweli. Nenda kwenye website ya Xiaomi www.mi com kisha pale juu bofya kwenye Product Authentication, weka IMEI kati ya hizo na uweke verification code unayooneshwa. Hapo utaambiwa aina hiyo ya simu
Kabla ulikuwa unatumia simu aina gani.?Wakuu,
Nilinunua simu Redmi Note 10 pro ila sidhani nasema sidhani kama hii ndio simu yenyewe.
Kama vile sijapenda Camera, battery ni 5,000Mah lakini haikai saana, camera ni 108px ila na yenyewe kama vile siielewi.
Sijawahi kutumia hii product na hii ndio mara ya kwanza. Nawezaje kuitumbua kama ni OG?
View attachment 2027822
750,000 pesa ndogo tu
Sasa mkuu umesema huna matumizi makubwa ya simu mbona ulichukua 8GB RAM. 6GB inakutosha sana hapo umeongeza gharama bila sababu
Sasa camera ya note 10 pro ulitaka ufananishe na infinix gani? Mana ulitamani urud infinix, na how come unamatumiz ya camera sana alafu utake infinix?Nadhani nilijichanganya, I meant Nina matumizi makubwa ya simu kwa Ajili ya report zangu hasa camera
MazoeaSasa camera ya note 10 pro ulitaka ufananishe na infinix gani? Mana ulitamani urud infinix, na how come unamatumiz ya camera sana alafu utake infinix?
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Camera mkuu ni bora ungetafuta flagship za kuanzia 2019 bei imepoa ungekula bata sanaNadhani nilijichanganya, I meant Nina matumizi makubwa ya simu kwa Ajili ya report zangu hasa camera
Majibu kama haya yanaweza msababishia mtu homa ya ghafla750,000 pesa ndogo tu
Hiyo unayosema hela ndogo kuna watu wanaweza kulisha familia kwa miezi kadhaa ujue😂😁Hahahahah kwanini Mpwa?
Sio familia tu kuna watu kupitia pesa hyo anaweza akafungua kiwanda na akanunua kipando chake.... ahahaaHiyo unayosema hela ndogo kuna watu wanaweza kulisha familia kwa miezi kadhaa ujue😂😁
Umeona sasa....😂😂. Anyway tuko nje ya mada.Sio familia tu kuna watu kupitia pesa hyo anaweza akafungua kiwanda na akanunua kipando chake.... ahahaa
Sasa mkuu umesema huna matumizi makubwa ya simu mbona ulichukua 8GB RAM. 6GB inakutosha sana hapo umeongeza gharama bila sababu