Nawezaje kujua hii simu kama ni Original, Fake au copy?

Kujua kama ni original which I believe ni original kweli. Nenda kwenye website ya Xiaomi www.mi com kisha pale juu bofya kwenye Product Authentication, weka IMEI kati ya hizo na uweke verification code unayooneshwa. Hapo utaambiwa aina hiyo ya simu
Asante sana, nadhani nitafuata ulichoniambia. Ni OG

Screenshot_2021-12-01-09-45-56-179_com.android.chrome.jpg
 
Wakuu,

Nilinunua simu Redmi Note 10 pro ila sidhani nasema sidhani kama hii ndio simu yenyewe.

Kama vile sijapenda Camera, battery ni 5,000Mah lakini haikai saana, camera ni 108px ila na yenyewe kama vile siielewi.

Sijawahi kutumia hii product na hii ndio mara ya kwanza. Nawezaje kuitumbua kama ni OG?

View attachment 2027822
Kabla ulikuwa unatumia simu aina gani.?
 
Sasa mkuu umesema huna matumizi makubwa ya simu mbona ulichukua 8GB RAM. 6GB inakutosha sana hapo umeongeza gharama bila sababu
Nadhani nilijichanganya, I meant Nina matumizi makubwa ya simu kwa Ajili ya report zangu hasa camera
 
Simu nzuri sana,cha kufanya hakikisha apps zote ziko updated, pia hakikisha system iko updated.
Basi utaizoea na utaipenda sana. Simu nzuri sana hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom