Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 389
- 553
Habari za usiku wakuu...
Naomba niende kwenye maada moja kwa moja..
Nimekuwa na changamoto ya kufahamu kama simu ni original au ni fake.. hususan kwenye makampuni ya samsung,oppo, iphone na baadhi ya simu..
Maana nasikiaga kuna code za kutest kujua ni org or copy.. naomba nizifahamu kwa anayezifaham naomba tushee kidogo..
Naomba niende kwenye maada moja kwa moja..
Nimekuwa na changamoto ya kufahamu kama simu ni original au ni fake.. hususan kwenye makampuni ya samsung,oppo, iphone na baadhi ya simu..
Maana nasikiaga kuna code za kutest kujua ni org or copy.. naomba nizifahamu kwa anayezifaham naomba tushee kidogo..