Kana-ka-Sungu sijui yuko wapi leo... naona angepata suluhisho... ha ha.
The bottom line ni kuwa: siku za mwizi ni arobaini. Pole kwa yatakayo kusibu bwana Green29.
Pundit, hata Shaggy ana admit mwishoni mwa wimbo kuwa kufanya hivyo si vyema, 'it wan't me' inasaidia lakini siyo dawa. Kama ulivyosema, pengine ukweli utakuwa wa maana... ilaaa... mmmmh, sijui kwa kweli, demu mwenyewe kama anakuwa anajua mambo ya internet kisawasawa, sidhani kama ataweza kuongopewa..
oooh, kuna kitu kimenijia kichwani, subiri ni ku pm... it's evil though.. lol
Ule wimbo wa Messenger kaleta balaa, unafaa kweli kupigwa hivi sasa, nimeutafuta kwenye youtube siuuoni..... lol