GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,196
Pole ndugu green29, ila kwa ushauri wangu jaribu yafuatayo; mwambie wife kuna jamaa yako ulimpa email yako na yake(wife) hivyo ametuma msg (very urgent)lakini kupitia email ya wife, mwombe akutumie password yake ili uweze soma hiyo msg. Huo ndo ushauri wangu.
Akikataa nipigie ili nikupe way of hacking yahoo password,