Nawezaje kuirudisha meseji nilitotuma kwenye yahoo messenger !! ndoa iko hatarini!

Pole ndugu green29, ila kwa ushauri wangu jaribu yafuatayo; mwambie wife kuna jamaa yako ulimpa email yako na yake(wife) hivyo ametuma msg (very urgent)lakini kupitia email ya wife, mwombe akutumie password yake ili uweze soma hiyo msg. Huo ndo ushauri wangu.


Akikataa nipigie ili nikupe way of hacking yahoo password,
 
inawezekana kama wife hajaifungua
fanya hivi

1.Mwambie kompyuta yako ina virus, kila mtu kwenye id mesenger yako kapata same mesege, hizo mesege zinajituma zenyewe, na uwezi format system

2.Jaribu kumwabia wife kuwa ID yako iko hacked,sasa unamuomba kutumia email yake kuwataarifu yahoo, hivyo muombe akupe password akikupa tuu kosa la jinai.

3.Kama nyumbani kwako kuna internet, na wife yupo home basi mtege, chomoa cable ya net, then mwambie alog in ukiwa ofisini kesho mchati akishindwa mwambie akutumie email na password ujaribu ofisini kwako kama inafanya kazi.

4.Kama ikishindikana yote hayo badili email id!, Mwambie umepoteza password jana baada ya kuchati nae na hivyo basi umefungua id mpya, kama akikuta meseje yoyote mwambie haijatoka kwako mostyl kwa hackers

Ukishindwa yote hayo basi kubali yaishe
mmmh..watu ni maproffesional liars!!ila ajue uongo nao una namna yake ya kuusema,akijichanganya kidogo tu inakula kwake..halafu pia uongo wa kufundishwa sio,utaumbuka ndugu yangu..
 
Heee nimecheka sana mie jamani! Hiki kisa ni 2008 anyway dunia inazunguka humuhumu tu. . Life bwana!
 
we hiyo ndoa bado changa kinachokupeleka kwa hao ni nn omba msamaha au kana mashtaka bro ucrudie tena
 
wazee nimetuma message ya nyumba ndogo kwa wife kwa bahati mbaya. Nilikuwa nachati nao wote kupitia yahoo messenger sasa nikajikuta namtumia msg wife badala ya nyumba ndogo. wife alisha log out nahisi bado hajaisoma , nataka kujua kama naweza kuivuta ili asiikute.

bahati mbaya nilikuwa namkumbusha nyumba ndogo good time tuliyokuwa nayo wakati wa mwaka mpya huko zanzibar wakati wife anajua nilikuwa kigoma kikazi.

nisaidieni tuokoe hii ndoa changa washikaji
ukiona unakula ujue unaliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom