green29
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 311
- 41
wazee nimetuma message ya nyumba ndogo kwa wife kwa bahati mbaya. Nilikuwa nachati nao wote kupitia yahoo messenger sasa nikajikuta namtumia msg wife badala ya nyumba ndogo. wife alisha log out nahisi bado hajaisoma , nataka kujua kama naweza kuivuta ili asiikute.
bahati mbaya nilikuwa namkumbusha nyumba ndogo good time tuliyokuwa nayo wakati wa mwaka mpya huko zanzibar wakati wife anajua nilikuwa kigoma kikazi.
nisaidieni tuokoe hii ndoa changa washikaji
bahati mbaya nilikuwa namkumbusha nyumba ndogo good time tuliyokuwa nayo wakati wa mwaka mpya huko zanzibar wakati wife anajua nilikuwa kigoma kikazi.
nisaidieni tuokoe hii ndoa changa washikaji