zamani nilikuwa kama wewe ila siku hizi nimekuwa mgwadu. kauzu kama dagaa. fanya yaliyo ndani ya uwezo wako daughter, ukijitoa sana kwa mtu ndio madhara yake hayo maumivu.
Yani kwangu ni kama vile huo msemo haupo...wakati nipo chuo nlikuwa nagawa bum looote, kiasi kwamba sijui wiki itayofuatia nakula nini....
Mtu akiumwa hostel nitauguza kama me ndo nesi wa zamu, tena kwa gharama zangu...
Sasa ngoja majanga yanifike....simuoni shosti wala ndugu.....! Yani mpaka nabaki nalia tu....!
Asante kwa ushauri daddito.. Ila huwa nasaidia kulingana na uwezo. Let say kama mtu anahitaji fedha ambazo ziko ndani ya uwezo wangu nitampa.
Iwapo anataka nimsaidie kazi flani ambayo naiweza nitafanya...
Njoeni niwafundishe ugaidi
kauzu kama dagaa...lolzamani nilikuwa kama wewe ila siku hizi nimekuwa mgwadu. kauzu kama dagaa. fanya yaliyo ndani ya uwezo wako daughter, ukijitoa sana kwa mtu ndio madhara yake hayo maumivu.
Aliyotoa hiyo phrase ya tenda wema nenda zako nampenda sana..........."Tenda wema nenda zako" lakini pia usisahau ya kwamba "Kamwe wema haupaswi kuzidi uwezo".
Mnhhh utawaharibu wenzio...ila watoaji wengi hubarikiwa sana sijui kwa nini?
unampoteza sasa
huwa nawaambia sana ndugu zangu haya maneno.......Mnhhh utawaharibu wenzio...ila watoaji wengi hubarikiwa sana sijui kwa nini?
Hahahaa..... wote mkiwa magaidi wengine msaada tutapata wapi usiwa@badili tabia jamani...
Yani kwangu ni kama vile huo msemo haupo...wakati nipo chuo nlikuwa nagawa bum looote, kiasi kwamba sijui wiki itayofuatia nakula nini....
Mtu akiumwa hostel nitauguza kama me ndo nesi wa zamu, tena kwa gharama zangu...
Sasa ngoja majanga yanifike....simuoni shosti wala ndugu.....! Yani mpaka nabaki nalia tu....!
huwa nawaambia sana ndugu zangu haya maneno.......
wao kila siku kazi kukushangaa unavyobarikiwa, kukitokea mtu anahitaji msaada wao wanajiweka nyuma hata kama wana uwezo, sasa nawauliza "mtabarikiwaje na hamtaki kutoa"?
Ndo maana nimemshauri aangalie tu aina ya watu wa kuwaweka Karibu....asiache kutoa...Wanawake bandidu nao watamu kitandani lolPole sana aisee....
Mie nilikuwa nasaidia sana watu....najitoa kwenye jambo la mtu utadhani ni langu
Kuna kipindi nilupata shida nikawa nahitaji 200,000 tu kuongezea... kila nilomgusa alitoa sababu... nashukuru nilifanyikiwa kusolve ile ishu hata sijui niliisolvije...
Na matokeo menginge mengine nikaja gundua mie nikipata shida hawajitoi ila mie ndo nahangaikaaaaaaaaaaaaaaaa
hiyo ilinifanya nikapinguza hata idadi ya marafiki...
Na kabla sijamsaidia mtu najiuliza mara mbili....je nikipata tatizo hiyo mtu huwa anajitoa kiasi gani kwangu.......
Yaani ilinifanya nijifunze ubandidu.....
Hata kukopesha watu ni baraka...uchoyo unapunguza sana baraka
Me nikikopesha ndo sirudishiwi....na vile ndo sijui kudai....
Nikikopesha huwa natia nia kama nimetoa sadaka....
Mnhhh utawaharibu wenzio...ila watoaji wengi hubarikiwa sana sijui kwa nini?
Ndo ulivyoumbwa binamu hata usijaribu kuishi maisha ambayo hayakupi amani, kama mtu ana shida na moyo wako uko radhi kumsaidia kwa nini usimsaidie kama tatizo liko ndani ya uwezo wako?
We jiachie tu binamu kwa raha zako kwan inahuu, wakupishe, halafu mwenzio nina shida ngoja nikifuate pm