Nawezaje kuacha tabia hii¿¿¿????

pole my cousin ndo hivyo tena si unakumbuka ulivyokuwa mdogo sana ulikuwa unarukaruka kitandani pindi kabla hujalala au umesahau bestito? tena si unakumbuka ulivyokuwa unabiringika upandeupande mpaka nakuokota chini kwani minundu inakutoka kila siku ya muumba, sasa hiyo ndo tabia inaendelea hadi ukubwani my sis hivyo pole sana ila cha kufanya jitahidi ukilala lala upande upande na sio wima
 
mtafute mwenza halafu awe analala ule upande unaoangukia ili awe anakurudisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…