Ndio lkn mpk dirisha la rufaa lifunguliwe then uwe na kiambatanish kingine cha kushawishi wakuongezeeHabarini ndugu zangu naomba kuuliza kama nimepata mkopo asilimia 20% je naweza kuomba kuongezewa?
ShukraniiNdio lkn mpk dirisha la rufaa lifunguliwe then uwe na kiambatanish kingine cha kushawishi wakuongezee
Tafuta hata Cha kifoAsantenii kwa ushaurii mzuri japo sina kiambata chochote zaidi