Fadhili Jr
Member
- Oct 14, 2019
- 96
- 25
Nimefungua account kwaajil ya kuomba mkopo HESLB lakin niki login as register inaniandikia kama hivi.
Kama ulisha certify cheti chako Cha kuzaliwa ingia kweny account yako ya Rita na utakuta namba inayoisha na -BV , hiyo ndio birth verification numberHivi na sehem ya kujaza birth verification number unajaza ipi iyo ? Au ile entry number?
Nini inayogoma ??Ila nimejaribu inagoma inasema invalid
Screenshot utume hapa, si ulishafungua account kawaida ya kuomba mkopo na vipengele vingne umekamilisha, hicho ni kipengele Cha demographic informationBirth verification number inayo ishia na BV
Fungua kipengele kimoja kimoja Kuna vipengele vnavyohitaji ubonyeze confirmNaomba kuuliza ....
Nimemalizia Kila kitu lakini nikienda kwenye preview ikikaa baada ya sekunde kama 10 inasema "You have incomplete step in your application"
Pamoja na pale sehemu ya kuidownload form japo form nimedownload issue Tena imekuja wakati wa ku attach inaleta ujumbe huo huo na nimeipitia kote naona kijani tu hamna shida mahali.
Hiyo birth verification number lazma izungke ukiingiza na ilete jina lako kamili , majina lazima yaendaneHivyo inaniandikiaView attachment 2731525
Na hiyo namba cio entry namba hapana , ingia katika account ya Rita uliotumia kufanya certification ya cheti Cha kuzaliwa ndio utaipata hukoHiyo birth verification number lazma izungke ukiingiza na ilete jina lako kamili , majina lazima yaendane
Ulio certify na Rita na ya kwenye maombi ya chuo, system Ina detect yenyew baada ya kuingiza namba na kuleta jina lakoMajina lazima yaendane na yap mkuu?
Jaribu ku refresh page urudie kujaza hizo taarifaYako sahii mbona na hata cheti walirudisha nika kidwonload kiko veryfied