7e153nrdyyf
Member
- Jul 31, 2023
- 71
- 42
Jamani nimekwama kwenye hiki kipande kwenye kuomba mkopo, naomba msaada maana napiga simu za HESLB hazipokelewi.
Shida hapa mimi sikuwa sponsored o level, nataka ku reverse application nashindwa. Form iko submitted so nafanyaje kwani hawewezi kunifungulia nikarekebisha hiyo sehemu jamani naomben ushauri.
Shida hapa mimi sikuwa sponsored o level, nataka ku reverse application nashindwa. Form iko submitted so nafanyaje kwani hawewezi kunifungulia nikarekebisha hiyo sehemu jamani naomben ushauri.