memento mori
Member
- Jan 23, 2021
- 22
- 18
Habari zenu,
Naomba mnisaidie kwenye hatua hii kwenye kuomba mkopo HESLB.
Kwenye kipengele cha kuattatch signed pages 2 na 5.
Je, ni pages gan zinazohtajika?
Msaada tafadhali.
Download form page ya 2 na ya 5 ya kwenye formView attachment 2766752
Habari zenu..
naomba mnisaidie kwenye hatua hii kwenye kuomba mkopo HESLB..kwenye kipengele cha kuattatch signed pages 2 na 5..je ni pages gan zinazohtajika??msaada tafadhali
Nenda kwenye kipengele cha preview your details,download hiyo complete form kisha saini vipengele vinavyokuhusu pamoja na mdhamini wako na yeye asaini.
Nenda kwenye kipengele cha preview your details,download hiyo complete form kisha saini vipengele vinavyokuhusu pamoja na mdhamini wako na yeye asaini.
Baada ya hapo peleka kwa mwenyekiti wako wa mtaa au kijiji naye akusainie kukuwekea muhuli na mwisho peleka kwa akimu au mwanashelia wakusainie na kukuwekea muhuli.Mwisho kabisa uta scan hizo page no2 & no5 na kuzihataji katika hivyo vipengele.
Next time,soma mwongozo vizuri na uelewe...!
Download form page ya 2 na ya 5 ya kwenye form