Nawaza kwa sauti kubwa juu ya huyo aliotoa wazo huko kwenye vikao vyao la kuteka na kuua watanganyika

Nawaza kwa sauti kubwa juu ya huyo aliotoa wazo huko kwenye vikao vyao la kuteka na kuua watanganyika

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
3,333
Reaction score
6,454
-Kuna kisa nimesikia titok vijana watatu walikamatwa mchana kweupe tarehe 4 December huko Tarime na wote kukutwa wameuawa baada ya kupotea kwa siku kadhaa wakiwa wamevunjwa shingo.

What is this all about? Yote haya kwa ajili ya kulinda CCM isitoke madarakani kweli? Imagine mmoja wa hao vijana alikua 22 years old.

Imeniuma sana. Hayq kuleni shibeni kwa damu za watu
 
Atakuwa yule mwenye kicheko kama cha Fisi.
 
Back
Top Bottom