Kaka ninyingi zilikuja na ambazo mungu alinipa uwezo wakuzikumbuka nilizi save kama yakwako niliwezeshwa basi nitakuwa nime i save!!pole sana kiongozi,tuko pamoja tutaendelea kuwa pamoja,niko njiani nakuja dar nitapenda kukuona KakaKiiza,namba yako ninayo hope yangu ulisevu,nitakutafuta
@Kakakiiza, hiyo shukurani yako ni malipo makubwa sana. Mungu aendelee kukulinda ndugu yetu na kukupa nguvu katika kuipindi hiki kigumusina chakuwalipa kwa wema mkubwa waliouonyesha kwangu!!Ninawaomba wapokee hii shukurani yangu ya dhati kutoka kwangu
Tunashukuru sana kwa uwakilishi, inatia moyo kwa kweli kuona watu mnaowasiliana kwa keyboard tu wanajitokeza unapokuwa na tatizo. Nimewapenda sana wooooote mliotuwakilisha, Mungu atawabariki sanaPole sana KakaKiiza,
Mungu atampumzisha kwa Amani yake Mkeo Kipenzi/Wifi yetu Subira Alfred Mwamasso.
Najua hutaweza kutukumbuka wote tuliokuja msibani kutokana na wingi wetu,
Ila Tunashukuru kwa Ukarimu wako kwa Wana Jf tuliohudhuria.
Bwana Ametoa,
Na Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe.
Ameeen.