King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Paw, namuombea my son uporoto usimpige ban walau kwa miezi 6 manake yuko vulnerable na ana stress. Akipata maudhi anaweza kushindwa kujizuia. Natanguliza shukrani zake, zangu mama yake wa kambo na za mkewe husninyo. Tunashukuru kwa ushirikiano
Tunazidi kukuombea faraja na utulivu kwenye hiki kipindi kigumu kwako na familia.
Tupo pamoja ingawa wengine hatuwezi kujiexpose lakini fahamu tupo pamoja nawe ktk hali yoyote ile.