Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,552
- 2,992
Assalam Alaykum!
Wadau wa JF kila siku kumekuwepo na kawaida ya kuunda nyuzi tofauti za watu kuomba ushauri wa kujikwamua kimaisha lakini wengi wa wachangiaji hawaoneshi nia na azma ya kusaidia,waomba ushauri wengi huangukia patupu leo mimi @Muhafidhina nimeamua kutoa ushauri kwa vijana wenzangu kujiunga katika biashara ya udalali kwa sababu zifuatazo;
Mosi,Udalali ni kazi ambayo haitaji muda mwingi katika utafutaji zaidi ya kuwekeza muda wako zaidi kwenye mitandao ya kijamii, na kwa bahati nzuri kizazi cha sasa kinaendeshwa na teknolojia vijana wengi hawajaachwa nyuma kwenye kumiliki simu na bando hivyo kuna rahisisha kuepuka mizunguko ya kufatilia bidhaa(nyumba,simu,nguo n.k).
Pili,Upatikanaji wa bidhaa,hatuwezi wote kuajiriwa ila tunaweza kujiajiri kupitia bidhaa za watu au kampuni kwa bahati nzuri bidhaa nyingi kwa sasa zinapatikana hapa hapa nchini hivyo unaweza kutafuta mzalisha na soko kwa wakati mmoja bila kutoa gharama Note; Dalali hanunui ila ni middle party kwa maana siyo mwenye hasara.
Mwisho, wengi wa dalali wamebase kwenye majumba, vyumba na vifaa hivyo unaweza kuamua upande upi unakufaa zaidi.
Wadau wa JF kila siku kumekuwepo na kawaida ya kuunda nyuzi tofauti za watu kuomba ushauri wa kujikwamua kimaisha lakini wengi wa wachangiaji hawaoneshi nia na azma ya kusaidia,waomba ushauri wengi huangukia patupu leo mimi @Muhafidhina nimeamua kutoa ushauri kwa vijana wenzangu kujiunga katika biashara ya udalali kwa sababu zifuatazo;
Mosi,Udalali ni kazi ambayo haitaji muda mwingi katika utafutaji zaidi ya kuwekeza muda wako zaidi kwenye mitandao ya kijamii, na kwa bahati nzuri kizazi cha sasa kinaendeshwa na teknolojia vijana wengi hawajaachwa nyuma kwenye kumiliki simu na bando hivyo kuna rahisisha kuepuka mizunguko ya kufatilia bidhaa(nyumba,simu,nguo n.k).
Pili,Upatikanaji wa bidhaa,hatuwezi wote kuajiriwa ila tunaweza kujiajiri kupitia bidhaa za watu au kampuni kwa bahati nzuri bidhaa nyingi kwa sasa zinapatikana hapa hapa nchini hivyo unaweza kutafuta mzalisha na soko kwa wakati mmoja bila kutoa gharama Note; Dalali hanunui ila ni middle party kwa maana siyo mwenye hasara.
Mwisho, wengi wa dalali wamebase kwenye majumba, vyumba na vifaa hivyo unaweza kuamua upande upi unakufaa zaidi.