Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,580
- 3,045
- Thread starter
- #21
acha zako mbona mnatoa kazi?MADALALI NI WEZI KAMA WEZI WENGINE TU
acha zako mbona mnatoa kazi?MADALALI NI WEZI KAMA WEZI WENGINE TU
tatizo ni kazi yenyewe inapita kwenye mikono mingiTanzania kuna fursa sana ya kutengeneza fedha ukiwa dalali smart. Jua bidhaa ipo wapi, jua mnunuzi yupo wapi. Usiendekeze tamaa.
Tatizo la madalali wako kama mbuzi. Utasikia "Tupo wa3, tupo wa4. Na hapo bei ya bidhaa wameiongeza mara mbili, wanarudi tena kwa mwenye bidhaa na hadithi za tuna mteja bei sema mara mbili na usipunguze. Matokeo yake mteja hata akinunua akija kujua mlimpiga harudi wala kutoa recommendation.
Ndo maana nikasema ukiwa dalali smart. Dalali smart anapokea service fee kwa mhitaji bidhaa na commision kwa muuzaji bidhaa. Dalali smart hajimilikishi bidhaa esp asiyoifahamu ila anaonyesha njia ya wapi inapatikana na wapi pa kuuza. Dalali smart anatafiti na kujua taarifa za bidhaa, hategemei kuzipata kwa dalali mwenzake saa bidhaa inahitajika. Dalali smart hata unapomlipa unatamani umuongezee na pesa ya usumbufu kwa msaada aliokupa na lazima ukikutana na mtu mwenye uhitaji wa huduma kama aliyokupatia haraka sana utampa namba zake.tatizo ni kazi yenyewe inapita kwenye mikono mingi
MWALIMU;LETE PESA YA PENI 100
MTOTO;MAMA NAOMBA 200 YA PENI
MAMA;BABA NANILIU MTOTO ANATAKA PENI BEI 300
alafu utarajie bei ya uuzaji uwe the same
huwajui wabongo weweNdo maana nikasema ukiwa dalali smart. Dalali smart anapokea service fee kwa mhitaji bidhaa na commision kwa muuzaji bidhaa. Dalali smart hajimilikishi bidhaa esp asiyoifahamu ila anaonyesha njia ya wapi inapatikana na wapi pa kuuza. Dalali smart anatafiti na kujua taarifa za bidhaa, hategemei kuzipata kwa dalali mwenzake saa bidhaa inahitajika. Dalali smart hata unapomlipa unatamani umuongezee na pesa ya usumbufu kwa msaada aliokupa na lazima ukikutana na mtu mwenye uhitaji wa huduma kama aliyokupatia haraka sana utampa namba zake.
NAKUBALI'''Kabla ya kutumia nguvu, tulia tumia akili kwanza''
kwa sauti ya signature yako tu.
Na kweli katika watu wanaongoza kudhulumiana/kuuana madalaliProblems
Kusalitiana
Kuuana
Kulogana
Pia kuwa na Sonona.. mara nyingi wanauza au kudalalia vitu sivyo (Vya dhulma au vibovu) mwisho nafsi inawasuta sana...
Kazi ya kipuuzi sana.
Kweli.. kbsNa kweli katika watu wanaongoza kudhulumiana/kuuana madalali
Utajiri wa ghafla na kufilisika nje nje