nawapenda mabinti wembaba.

nawapenda mabinti wembaba.

Ahahahaaaa..kwanini hukuweka picha zao?...maana hao vimodo wapo wa aina mbalimbali...wapo wenye vitako kaa piritoni, wapo wenye "vijungu mwiba"..wapo wenye vikundu juu...ila pia ukumbuke navyo ni pasua kichwa balaaa..full vituko plus ukatuni..na hasa akiwa mwembamba na mfupi..sijui warefu wakoje coz kwenye warefu mie napenda awe na nyama hasa ukila unakula aliyenona...unakamata twiga wa ukweli..mzee wa magondi ya haja.

Nasisitiza weka picha mkuu.

Nimecheka sana kwa kweli. Kama unaweza ninaomba uniwekee picha ya;

1. Mwenye kitako kama piritoni.

2. Mwenye "kijungu mwiba".

3. Mwenye kikundu juu.
 
Nimeshuhudia wanaume wengi wanaoa wanawake wanaofanana na dada na mama zao kwa maumbo...sijuhi ni mimi peke yangu nimeliona hili....

Ni kuogopa criticisms au ni mazingira mlokulia yanawafanya bila kujua mna define uzuri tokana na wale mlio nao karibu?
 
ndiocho ulichoamua kupost hapa?? unless uwe binti mwembaba, ila kama si binti mwembamba basi we utakua bonge
nawasiwasi rafikimkweli utakuwa na kitambi kilichoanguka, ndo maana inawapenda wembamba maana ukipata tipwatipwa hamna live band show teh teh
 
Kwa kweli umenikuna kusema ukweli. mimi ni mgonjwa balaa. hasa akiwa mweupe. Ila sasa nasikia wanaume tunaopenda wanawake webamba tuna dushelele ndogo. Ni kweli?
si kweli tatizo mna vitambi vikubwa, ili ufike unahitaj mwembamba
 
Wembamba sindano sitaki kabisa kusikia story zao, K zao hazijatulia hata kidogo.
 
wao pia wananipenda, maana nadate wote sampuli hiii...niko type ya wanaopendwa na watu kama hawa

Siku nyingine ukiulizwa hili swali maana yake ni una hela ya matanuzi na kuhonga? Ndio maana ya hilo swali.
 
Jivunie unene ulionao.mwanamke mnene ni mtamu sana,ana joto kali ukeni,ana nyamanyama ambazo hazimuumizi m.me wakati wa kutoa mastyle ,akikaa style ya chuma mboga basi lile sponji la nyuma loote la7bisha maangamizi ya muda mfupi kwa faridi kichwa wazi,ana degree ya kwenda miondoko ya RNB kitandani ambayo huwa so romantic na haitoi jasho ,akivua nguo akalala kifudi basi mkaka hata akiwa anaangalia mpira lzma ataacha mpira,ana sifa ya kukojoa bila ya kumwaga maji mengi,
Happy wanene day vimbaumbau muwape pole imekula kwao hiyo
 
Kuna jamaa yangu anasema wanawake wembamba labda awe amesingiziwa....hana habari nao yeye ni mabooooonge tu
 
jamani, sie tupo tumetulia, hapa naona kila mtu anavutia kwake, na isitoshe kila mtu ana kitu chake anachopenda. huwezi kwenda kwa mwanamke mnene kama humtaki, vilevile huwezi kwenda kwa m'ke mwembamba kama humtaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom