Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,815
- 10,717
Tunawamiss sana naomba wadau tufikiri kabla ya kuandika hapa na tuwe na ushahidi na maradhi tunayosema yamewaondoa dunia .
Chawambata ndio nini sasadoh, tronics iyo kitambo sana Veta,
baadhi wako futi kadhaa chini, baadhi wako chawambata
Kulikoni unavyodhani.Una uhakika na hayo unayo yasema,au mdomo ni nyumba ya maneno?
Acha kabisa mkuu.Wapi Luiza Nyoni, Aisha Madinda
Aisha kafariki kitamboWapi Luiza Nyoni, Aisha Madinda